Ubishi upiHuyu Zuena wenu huwa na vijimambo sana! Mbishi bure!
tulia...umeelewekaUnajua ulie mlenga
nacho kuambia nikuwa mheshimu Rais wetu
Rais wa Manzese au?Ubishi upi
yaani nikubari Rais wangu azihakiwe !!
Ni kupolomoka ama kuporomoka????Jengo la ghorofa saba limeporomoka mjini Nairobi na watu 15 hawajulikani walipo,
Bado juhudi za kuwa tafuta zinaendelea
Acha ushamba wewe kupolomoka ndio nini ?,sio kila kitu lazima ubisheNi kupolomoka ama kuporomoka????
Manzese ni TanzaniaRais wa Manzese au?
Soma headingAcha ushamba wewe kupolomoka ndio nini ?,sio kila kitu lazima ubishe
Sawatulia...umeeleweka
Moto chini ako chini kama denominatorUnamkosoa MOTOCHINI
Jiandae
Moto chini ako chini kama denominatorUnamkosoa MOTOCHINI
Jiandae
Ujenzi usiozingatia vigezo haujawahi muacha mtu salama
Sawa humjui huyoMoto chini ako chini kama denominator
Ney wa Mitego au Madee?Manzese ni Tanzania
Ikitokea Bongo utawala huu wa MaguHivi hawa wanaojenga majengo below standard wanachukiwa hatua kweli?
Hao ni nduguzo?Ney wa Mitego au Madee?
Huyo hanitiishii ata chembeSawa humjui huyo
Sikuhizi simuoni sana Kenyan forum
sijui kapatwa na nini