Zuwenna
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 2,133
- 3,758
Nzuri umzima wewe?Mh !za siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nzuri umzima wewe?Mh !za siku
Binadamu sote nduguUnaudugu na mkenya!
Jamaa kakukera siyo?
Anhaa kumbe haoWalio kuzaa na kukulea
Mzima tuuNzuri umzima wewe?
Unawachukia wakenya weweManyang'au hawajui kujenga, kila siku majengo yao yanaporomoka. Halafu wanakuja humu kudai elimu yao ipo juu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hapo angekua huyu ninae mjua mimi, bilashaka angesha sema.....
I wish I could be Kenyan's President...[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hajamtaja raisHeshimu Rais wetu wewe
Kwanini unakuza mamboDhihaka inajulikana
Binti anayakuza huyoIla si vizuri kumlisha maneno...
Huwa sina imani na MAJENGO mengi BongoUjenzi usiozingatia vigezo haujawahi muacha mtu salama
Hii Nyang'au inamaanisha nini!Poleni sana Manyang'au
Mungu azilaze roho za Manyang'au mahali pema peponi..
Tulia weweBinti anayakuza huyo
Ubishi upi
yaani nikubari Rais wangu azihakiwe !!
Siwachukii ila wamezidi uzembe, kila siku majengo yanaporomoka.Unawachukia wakenya wewe