Ghorofa lapolomoka watu 15 hawajulikani walipo

Ghorofa lapolomoka watu 15 hawajulikani walipo

Tatizo la kenya
Asilimia kubwa mjini majengo ni yawana siasa na Mabepari
Wananchi wakawaida wao ni mabanda tu
Ajabu Hao wanasiasa na mabepari wanakwenda mahakamani kupinga kubomolewa kwa majengo hayo mabovu!
Angalia sasa, huu ndio upuzi zinao uongelea, sasa umeketi chini ukaamua tatizo la Kenya majengo ni ya wanasiasa! like really??? hii umetoa wapi? mwanasiasa hawezi jishuhulisha kujenga nyumba mahali kama huruma neighbourhood, yeye atajipeleka kule kuna pesa za ukweli..

Alafu unamaanisha nini ukisema bebari, ninavyojua bepari ni capitalists, sasa unatarajui vipi mtu mwenye amejenga nyumba ya kukodisha asiwe bebari??? ulitaka ajenge na awachie wakaazi waishi bure? bado ujamaa unawasumbua nyie
 
Tatizo la kenya
Asilimia kubwa mjini majengo ni yawana siasa na Mabepari
Wananchi wakawaida wao ni mabanda tu
Ajabu Hao wanasiasa na mabepari wanakwenda mahakamani kupinga kubomolewa kwa majengo hayo mabovu!

Nikisikia hilo tu la kupinga mahakamani nashikwa na hasira. Ikifikia hapo namfagilia sana rais wangu Magufuli, eti buildings experts report inasema yabomolewe... halafu wenyewe wanakimbilia mahakamani. Angekuwa JPM angesema yaende chini kuliko kuendelea kuua watu wasio na hatia.
 
Angalia sasa, huu ndio upuzi zinao uongelea, sasa umeketi chini ukaamua tatizo la Kenya majengo ni ya wanasiasa! like really??? hii umetoa wapi? mwanasiasa hawezi jishuhulisha kujenga nyumba mahali kama huruma neighbourhood, yeye atajipeleka kule kuna pesa za ukweli..

Alafu unamaanisha nini ukisema bebari, ninavyojua bepari ni capitalists, sasa unatarajui vipi mtu mwenye amejenga nyumba ya kukodisha asiwe bebari??? ulitaka ajenge na awachie wakaazi waishi bure? bado ujamaa unawasumbua nyie
Wewe usikwepe kisomi
Nieleze jengo hili lanani!!
Nikapuku kama wewe!
Walio kwenda mahakamani kupinga kubomolewa zaidi ya majengo 100. Nikina nani!?
Weka ushabiki pembeni
Majengo mengi yakupangisha Ni mabepari na sio wakenya wakawaida
Ujamaa wetu nibora kuliko ubepari wenu.
Leo unakitu siyo bure
Maana povu limekuwa kubwa
 
Nikisikia hilo tu la kupinga mahakamani nashikwa na hasira. Ikifikia hapo namfagilia sana rais wangu Magufuli, eti buildings experts report inasema yabomolewe... halafu wenyewe wanakimbilia mahakamani. Angekuwa JPM angesema yaende chini kuliko kuendelea kuua watu wasio na hatia.
Nakuhakikishia huko mahakamani lazima washinde hawa watu
Maana ndio wapiga dili wakubwa Kenya
Hawa ndio kila kitu
Wana pesa chafu
Na wanathamini Mali kuliko uhai wa mkenya wa wakaida.
 
Wewe usikwepe kisomi
Nieleze jengo hili lanani!!
Nikapuku kama wewe!
Walio kwenda mahakamani kupinga kubomolewa zaidi ya majengo 100. Nikina nani!?
Weka ushabiki pembeni
Majengo mengi yakupangisha Ni mabepari na sio wakenya wakawaida
Ujamaa wetu nibora kuliko ubepari wenu.
Leo unakitu siyo bure
Maana povu limekuwa kubwa
Unajionyesha tu vile haujawahi kukanyaga Kenya, hakuna lolote unaloeleweKenya unaisikilia kwa maskio tu, Temebea na uishi kidogo kama miezi sita hivi alafu ndo uje hapa ujufanye we ndo gwiji kwa mambo ya Kenya, utajiabisha mwenyewe na hizo story ulizonazo kuhusu Kenya..... Leo hii umejaribu sana, umeenda siku mbili kabla ktaja "mzungu' na 'kumiliki Kenya', nashuku, ili kuendana na hii story leo umegeuza na kuwasingizia wanasiasa na Mabepari kwa kumiliki kenya
 
Sura ya watanzania utakutana nayo wakati ukipatwa na janga, utawaona wakijoa kojoa kila Mahali badala ya kuomboleza nawe...

Anyway, kwa wale watanzania wanaojifanya kama sijui Tanzania ina maengineer hio ni upuzi mtupu, majengo hayaporomoki kwasababu nje ya CBD ya Dar, ni nyumba za mabati zimejazana kila Mahali, yani zile nyumba za architecture ya kawaida hata mototo mdogo anaweza kuichora... Tofauti za Nairobi ambayo ni ndogo sana ki jiografia, utakuta kando ya slums next ni nyumba za orofa tano au saba, hizo gorofa hua zimekengwa kama apartments, hata kwa vitongoji duni hua utazipata some jazana kia mahali, mahali kama huruma, pale palikua slums za mabati zimejaa, lakini sikuhizi ni gorofa nyingi zimejengwa tu hivi hivi, wajenzi wa hizo nyumba huanza kujenga kama orofa tatu hivi, alafu baadae anaamua wacha niongeze orofa tatu zengine juu yake bila kuomba ruhusa kwa serikali au kununua shamba lengine... Hivyo ndo hua wanafanya kule vitongoji duni manake hata serikali hua si rahisi kutembelea...
Lakini ukirudi mahali kama dar au Kampala utakuta nyumba nyingi za wakaazi ni nyumba hazina gorofa, haswaa vitongoji duni, tena isitoshe ofisi za gorofa nyingi ndefu zinazojulikana hapo dar zilichorwa na ma engineer na architecture kutoka kenya

Umeandika upuuzi mtupu.
 
That is the head of a devil worshipper talking

Achenu mambo yenu, kila siku majengo yanaporomoka kwenu tu. Uzembe uliopindukia huo, tunawapa pole ila hamna budi kujifunza.
 
Wewe usikwepe kisomi
Nieleze jengo hili lanani!!
Nikapuku kama wewe!
Walio kwenda mahakamani kupinga kubomolewa zaidi ya majengo 100. Nikina nani!?
Weka ushabiki pembeni
Majengo mengi yakupangisha Ni mabepari na sio wakenya wakawaida
Ujamaa wetu nibora kuliko ubepari wenu.
Leo unakitu siyo bure
Maana povu limekuwa kubwa
Acha kuamdika upumbavu hapa. Haya ni majengo ya watu binafsi, sio ya wanasiasa tu.

Acha kwanza nikupe somo kidogo hapa:

" Ubepari", au Capitalism kwa kizungu, ni mfumo wa kiuchumi ambapo mtu yeyote, awe mwanasiasa au mtu wa kawaida ana haki ya kujitafutia na kumiliki mali na biashara. Kenya ni nchi yenye mfumo wa kibepari, kwa hivyo, kila raia wa Kenya ni mbepari.

Mtu kama mimi, anaye miliki ardhi karibu na mji mkubwa kama Nairobi, ninaweza nijaamua kujenga nyumba ya makazi, hoteli, shule nk kama njia ya mimi kujipa hela. Huo si ni ubepari?

Kwa hivyo, unaposema haya ni majengo ya wabepari, hapo uko sawa kabisa. Na sio uongo ya kwamba wanasiasa nao wanamiliki mali ya aina hii. Wao pia ni wabepari.

Unavyojaribu kuwadhalilisha wakenya kama watu wanaotegemea wachache ndivyo unavyojionyesha kutoelewa mambo hata ya kawaida tu. Kwa akili yako, mbepari bila shaka ni mzungu, na kama si mzungu basi ni mwanasiasa.
 
Nakuhakikishia huko mahakamani lazima washinde hawa watu
Maana ndio wapiga dili wakubwa Kenya
Hawa ndio kila kitu
Wana pesa chafu
Na wanathamini Mali kuliko uhai wa mkenya wa wakaida.
Hapana. Hili pia sio kweli. Majengo mengi yamewahi kuporomoshwa kutokana na agizo la korto.

Shida ni, kesi hizi huchukua muda kuamuliwa once injunction imewekwa, kumaanisha mamlaka haiwezi kuangusha majengo hayo ama watu kuondoshwa hadi korti ifanye uamuzi wake. Hapo sasa ndiko makosa ya hizi korti.
Lakini kama jengo ni mbovu, hakuna jinsi korti inaweza kataa hilo jengo liangushwe, imefanyika mara nyingi sana, yani hawa wamiliki wenye majengo mbovu hawajawahi kabisa kushinda kesi mahakamani.
 
Hapana. Hili pia sio kweli. Majengo mengi yamewahi kuporomoshwa kutokana na agizo la korto.

Shida ni, kesi hizi huchukua muda kuamuliwa once injunction imewekwa, kumaanisha mamlaka haiwezi kuangusha majengo hayo ama watu kuondoshwa hadi korti ifanye uamuzi wake. Hapo sasa ndiko makosa ya hizi korti.
Lakini kama jengo ni mbovu, hakuna jinsi korti inaweza kataa hilo jengo liangushwe, imefanyika mara nyingi sana, yani hawa wamiliki wenye majengo mbovu hawajawahi kabisa kushinda kesi mahakamani.
Mie nasubiria hayo majengo zaidi ya 300
Kama yatabomolewa
 
Mie nasubiria hayo majengo zaidi ya 300
Kama yatabomolewa
Maelfu yamebomolewa. Kenya nzima, majengo kama haya ambayo ni mbovu ama yamejengwa karibu na barabara au mto hubomolewa.

Kenya: Hundreds homeless as condemned buildings demolished

NCA set to demolish 204 unsafe buildings in Nairobi

Demolition of condemned buildings begins in 10 estates in Nairobi

Standard Digital News - Kidero leads demolition of condemned buildings in Eastlands

Hawa wamiliki huexploit our slow court process kudelay majengo yao kubomolewa, lakini kamwe mahakama haiwezi kuwakinga watu hawa katika uamuzi wao.

Mwaka jana serikali iliamua kubomoa majengo flani ingawaje kesi bado ilikua mahakamani, ilikiuka agizo la mahakama kusitisha ubomoaji hadi pale kesi kusikizwa na kuamuliwa.

Kwa hivyo wacha kusema usiyoyajua
 
Maelfu yamebomolewa. Kenya nzima, majengo kama haya ambayo ni mbovu ama yamejengwa karibu na barabara au mto hubomolewa.

Kenya: Hundreds homeless as condemned buildings demolished

NCA set to demolish 204 unsafe buildings in Nairobi

Demolition of condemned buildings begins in 10 estates in Nairobi

Standard Digital News - Kidero leads demolition of condemned buildings in Eastlands

Hawa wamiliki huexploit our slow court process kudelay majengo yao kubomolewa, lakini kamwe mahakama haiwezi kuwakinga watu hawa katika uamuzi wao.

Mwaka jana serikali iliamua kubomoa majengo flani ingawaje kesi bado ilikua mahakamani, ilikiuka agizo la mahakama kusitisha ubomoaji hadi pale kesi kusikizwa na kuamuliwa.

Kwa hivyo wacha kusema usiyoyajua
Kwanza wacha kuniona mimi mjinga
Nayajua mambo yakenya kuliko vile unavyo nifikiria,
Nipo busy Kwanza Kwenya Makinikia
Mzungu katuliza Makalio kwa magu
Hahaha
 
Kwanza wacha kuniona mimi mjinga
Nayajua mambo yakenya kuliko vile unavyo nifikiria,
Nipo busy Kwanza Kwenya Makinikia
Mzungu katuliza Makalio kwa magu
Hahaha
Mambo ya Kenya wewe uyajulie wapi kama si yale mambo ya kukaririwa chini ya mnazi Bagamoyo?
 
Back
Top Bottom