Kama sisi wajinga mbona tumewazidi kwenye uchumi?Hata uwezo wao wa akili pia ni mdogo sana, hilo ndio tatizo kubwa zaidi kuliko rushwa, hawa jamaa vichwani hamna kitu kabisa
π π π π πBadala utazame news za TBC saa 3 unaangalia za Citizen TV...kweli GDP ya Kenya sio ya makaratasi π
Kumbe unaomba nairobi ipotee kwnye ramaniπ€£π€£π€£Siku likitokea tetemeko Kenya ndiyo ukweli ambao watz tumekuwa tunausema kuhusu Kenya utajulikana maana Nairobi majengo yatokayo baki yamesimama baada ya tetemeko ni majengo ya MABEBERU TU
Trapped more than 100 tenants
50% of buildings in Nairobi are not fit for human habitation. A study revealed.
So we have to wait until that 50% finished to carnage the people.