Mookiesbad98 JF-Expert Member Joined Feb 1, 2015 Posts 2,805 Reaction score 3,640 Nov 24, 2017 #41 Jogoo upande wa Kerai au upande wa Juliana. Maeneo ya chini kuna maji hatari na mvua zilizoisha utajiabisha wateja wenye ufahamu wakitembelea watona jinsi kulivyo bakuli la maji huko. Hapo umeuza sana ndugu ni 120 milioni.
Jogoo upande wa Kerai au upande wa Juliana. Maeneo ya chini kuna maji hatari na mvua zilizoisha utajiabisha wateja wenye ufahamu wakitembelea watona jinsi kulivyo bakuli la maji huko. Hapo umeuza sana ndugu ni 120 milioni.
N nguvu JF-Expert Member Joined Jun 13, 2013 Posts 22,976 Reaction score 22,564 Nov 24, 2017 #42 Mbalamwezi1 said: Hahaaa!mkuu hapa kama umeongea kwa jazba na steless hivi!!!au nawe umekosa ongezeko la mshahara!!! Click to expand... Hata we umeandika kwa steles vilevile, punguza stress
Mbalamwezi1 said: Hahaaa!mkuu hapa kama umeongea kwa jazba na steless hivi!!!au nawe umekosa ongezeko la mshahara!!! Click to expand... Hata we umeandika kwa steles vilevile, punguza stress
dovillenproperty JF-Expert Member Joined Nov 24, 2014 Posts 3,203 Reaction score 2,227 Nov 24, 2017 #43 Hiyo bei ukipata mteja uniambie