boris maganga JF-Expert Member Joined Jun 11, 2017 Posts 382 Reaction score 378 Aug 17, 2017 #21 Ishu kama hiyo iliwahi kunitokea,tukafungua tukakuta ni kebo tu imechomoka,unaweza kuchek. Sent using Jamii Forums mobile app
Ishu kama hiyo iliwahi kunitokea,tukafungua tukakuta ni kebo tu imechomoka,unaweza kuchek. Sent using Jamii Forums mobile app
Mpigadili Tz JF-Expert Member Joined May 4, 2015 Posts 1,093 Reaction score 2,046 Aug 17, 2017 #22 Livejr said: Aaah kile ukiwa unaisogeza gear rvr chenyewe unakipress kwa dole gumba...? Click to expand... Ndo hicho hicho swadakta kabisa Sent using Jamii Forums mobile app
Livejr said: Aaah kile ukiwa unaisogeza gear rvr chenyewe unakipress kwa dole gumba...? Click to expand... Ndo hicho hicho swadakta kabisa Sent using Jamii Forums mobile app
samilakadunda JF-Expert Member Joined Oct 13, 2011 Posts 1,780 Reaction score 355 Sep 8, 2017 Thread starter #23 Nilipatia ufumbuzi asubuhii fundi alikuja akaata kajiwaya kagumu Ka funguo akafunua dashboard akafunga dk 3, alichonambia ni lock ilikatika ikachomoka, napiga gia na makinikia yangu kama kawawa. Sent using Jamii Forums mobile app
Nilipatia ufumbuzi asubuhii fundi alikuja akaata kajiwaya kagumu Ka funguo akafunua dashboard akafunga dk 3, alichonambia ni lock ilikatika ikachomoka, napiga gia na makinikia yangu kama kawawa. Sent using Jamii Forums mobile app