"if i have seen further than others it is by standing on the shoulders of GIANTS"
Pandahill sec (2012) nikiwa a-level, kulikuwa na maada inayo mhusu SIR Isaac Newton. Kila mwanafunzi alikua na view zake kiasi kwamba hatukufikia hitimisho
Utata ni huu hapa, inasemekana GIANT aliyemzungumzia bwana newton ni OUR GOD FATHER OF HEAVEN, na wengine wakashikilia view kwamba huyu jamaa alikuwa MEMBER OF SECRET SOCIETY (FREEMASON) kwahiyo GIANT alie mzungumzia ni SATAN
Kama unafahamu lolote la kumhusu huyu mwanasayansi we2 tiririka hapa ndugu
.made in mby city.
Pandahill sec (2012) nikiwa a-level, kulikuwa na maada inayo mhusu SIR Isaac Newton. Kila mwanafunzi alikua na view zake kiasi kwamba hatukufikia hitimisho
Utata ni huu hapa, inasemekana GIANT aliyemzungumzia bwana newton ni OUR GOD FATHER OF HEAVEN, na wengine wakashikilia view kwamba huyu jamaa alikuwa MEMBER OF SECRET SOCIETY (FREEMASON) kwahiyo GIANT alie mzungumzia ni SATAN
Kama unafahamu lolote la kumhusu huyu mwanasayansi we2 tiririka hapa ndugu
.made in mby city.