Giant aliyezungumziwa na Sir Isaac Newton ni nani?

Giant aliyezungumziwa na Sir Isaac Newton ni nani?

A level? Am really sorry bro lakini nimeshangazwa darasa zima mlishindwa kutofautisha 'giant' na 'giants'.

Pili mngeangalia context. Sentensi hiyo aliisema wakati gani? Ndipo mje kwenye 'alimaanisha nini'.

Hata hivyo nawapongeza kwa kuweza kuwa na mdahalo. Natumai mlifikia muafaka.

"Kama nimeona mbali, basi ni kwa sababu nalisimama juu ya mabega ya 'wakubwa'"

shukrani ndugu
 
haina maana ya miungu wala freemason wala superstitious activity nyingine yoyote... Ule msemo aliusema kua sisi ni kama dwarfs(watu wafupi) ambao tupo tumesimama kwenye shoulders za giants, hapa aliongelea watu waliotutangulia yaani ancestors.. Maana ya hii statement alimaanisha kua kutokana na mambo waliyogundua watu wa zamani, basi tunaweza kuyatumia na kugundua mapya zaidi.... ndio maana wametubeba na ufupi wetu lakini tunaona mbali kuwazidi..
Nice thought
 
Giants anaoongea ni wale walioweka foundation iliyomsaidia jenga fikra zilizomfikia kupat amajibu kirahisi sana na kumfanya awe tofauti sana kipindi chake na karne nyingi sana mbele yake.Newton alikuwa mtu wa dini ya Ko-Anglicana aliyesoma vyema theology,phylosophy ,mathematics, na clasical science ilipotokea physics na nyingine.Na hata mazingaombwe ya kisayansi alikuwa akifanya ktk royal halls ambapo palisimamwa na King ambaye ni mlezi mkuu wa Anglican.Leo wajinga wajinga wanaweka mawe kifuani na kupasua hawajui newtons pamoja na kuwa njiti alifanya hayo na mengine mengi sana.Ila alikuwa na maelezo ya kisayansi.Hawa leo wengine wanafanya ila nao wanaamini kuwa lazima mizimu kwanza.
Kumbe ni rahisi hivyo kupasua mawe kifuani hebu tupe siri yake kisayansi maana wanatuambua don't try at home
 
Hii, mada ina miaka takribani mitatu (3) ila imenisikitisha sana, kama darasa zima mlishindwa hiyo sentensi hadi wewe unaona kuwa Netown alizungumza juu ya Mungu au miungu !?

Kwa hali hii, ngoja tuletewe hadi toothpick kutoka China maana hakuna namna.

Aiseeeeeh, nimesikitika sana.
 
Back
Top Bottom