Giant aliyezungumziwa na Sir Isaac Newton ni nani?


shukrani ndugu
 
Nice thought
 
Kumbe ni rahisi hivyo kupasua mawe kifuani hebu tupe siri yake kisayansi maana wanatuambua don't try at home
 
Hii, mada ina miaka takribani mitatu (3) ila imenisikitisha sana, kama darasa zima mlishindwa hiyo sentensi hadi wewe unaona kuwa Netown alizungumza juu ya Mungu au miungu !?

Kwa hali hii, ngoja tuletewe hadi toothpick kutoka China maana hakuna namna.

Aiseeeeeh, nimesikitika sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…