Halafu wote walikuwa na nyadhifa za juu sana katika taasisi za fegha. Nsekela alikuwa Meneja Mkuu wa kwanza wa NBC wakati Mwaikambo akiwa Meneja Mkuu wa kwanza wa NIC.Magodfather wa wanyakyusa ni Marehemu Gibson Mwaikambo na Marehemu Amon Nsekele hao ndio wanyakyusa walio kuwa na ushawishi mkubwa mpaka sasa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mmh we utakuwa uko around 60 hivi au 70Nimekumbuka Shirika la Bima chini ya Mwaikambo na NBC ya Nsekela
Magodfather wa wanyakyusa ni Marehemu Gibson Mwaikambo na Marehemu Amon Nsekele hao ndio wanyakyusa walio kuwa na ushawishi mkubwa mpaka sasa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Na Tukuyu Star ya PatelNimekumbuka Shirika la Bima chini ya Mwaikambo na NBC ya Nsekela
Du NBC ilikuwa na chuo chake, BIMA pia ilikuwa vizuri sanaUtendaji wa hayo mashirikia ulikuwaje kipindi hicho ukilinganisha na sasa ?
Hakuna mahali nimesema serikali imeua, soma vizuri, nimesema inawezakana ni assasination.Hiyo niliyowekea rangi nyekundu ni speculation yako tu mzee, kwa sababu hata mimi nilihudhuria msiba wa Mwaikambo nyumbani kwake wakati huo kwa vile ndugu yake mmoja alikuwa rafiki yangu. Mwaikambo alingia kwenye siasa ama mwaka 1980 au 1981 akiwa mbunge wa taifa kupitia Jumuia wa wazazi na aliendelea hadi mwaka 90; katika kipindi chake cha kwanza cha ubunge alifanya akiwa na kofia mbili, ubunge na umeneja wa NIC. Kama Mrema aliyehama kutoka Naibu Waziri Mkuu na kuwa mpinzani bado leo yupo hai, au Marandu aliyekuwa shushushu wa kutupwa wa serikali lakini aliondoka na kuaanzisha NCCR-Mageuzi naye bado yupo; unapata wapi imani ya kuwa serikali ilimuua Mwaikambo? Gari lake alilokuwa akiendesha na nguzo aliyogonga hadi kuanguka na gari hilo vyote vilionekana wakati huo na alikuwa peke yake kwenye gari.
Hizi conspiracy theories wakati mweingine zinasaidia kugawanya taifa bila sababu yoyote.
Mkuu siasa ni ulevi wa aina yake.Hiyo niliyowekea rangi nyekundu ni speculation yako tu mzee, kwa sababu hata mimi nilihudhuria msiba wa Mwaikambo nyumbani kwake wakati huo kwa vile ndugu yake mmoja alikuwa rafiki yangu. Mwaikambo alingia kwenye siasa ama mwaka 1980 au 1981 akiwa mbunge wa taifa kupitia Jumuia wa wazazi na aliendelea hadi mwaka 90; katika kipindi chake cha kwanza cha ubunge alifanya akiwa na kofia mbili, ubunge na umeneja wa NIC. Kama Mrema aliyehama kutoka Naibu Waziri Mkuu na kuwa mpinzani bado leo yupo hai, au Marandu aliyekuwa shushushu wa kutupwa wa serikali lakini aliondoka na kuaanzisha NCCR-Mageuzi naye bado yupo; unapata wapi imani ya kuwa serikali ilimuua Mwaikambo? Gari lake alilokuwa akiendesha na nguzo aliyogonga hadi kuanguka na gari hilo vyote vilionekana wakati huo na alikuwa peke yake kwenye gari.
Hizi conspiracy theories wakati mweingine zinasaidia kugawanya taifa bila sababu yoyote.
Nafikiri haikuwa ishu ya kabila gani wengi lakini kabila gani linapendelewa. Lame excuseMkuu kwa siye tuliokuwa tuna mfahamu zee Gibbons Mwaikambo, alikuwa mmoja wa Wadhamini(financiers) wa Chama, pili alikuwa Mwenyekiti wa Idara ya Chama Wazazi.
Kuhusu ajira pale Bima ni kweli wanyakyusa walikuwepo wengi lakini baada ya Bungeni kuulizwa swali hilo na sensa ya makabila kufanywa, ikabaini wasukuma kuongoza ajira kwa wingi wakifuatiwa na wachagga, na wa tatu wakiwa wanyakyusa.
"Lame excuse" is just a manifestation of your own infertile imagination.Nafikiri haikuwa ishu ya kabila gani wengi lakini kabila gani linapendelewa. Lame excuse
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi nakaa upanga huyu mwaikambo alikuwa anakaa mtaa gani ?RIP to him mana they were my neighbour and family friend at Upanga
Ubalozi wa kongo c pale makao makuu ya skauti ? Ndio hapo alipopatia ajali ?Wakati nasoma tambaza kuna sehemu ya ukuta pale ubalozi wa zaire (congo drc) mpka 1996 palikuwa hapajajengwa , ndiyo sehemu alipogonga ukuta ,simulizi ni kuwa alikuwa anawakimbia wasiojulikana ndipo alipogonga ukuta wa ubalozi na kupata mauti
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha hiyo sensa alisimamia nani?Mkuu kwa siye tuliokuwa tuna mfahamu zee Gibbons Mwaikambo, alikuwa mmoja wa Wadhamini(financiers) wa Chama, pili alikuwa Mwenyekiti wa Idara ya Chama Wazazi.
Kuhusu ajira pale Bima ni kweli wanyakyusa walikuwepo wengi lakini baada ya Bungeni kuulizwa swali hilo na sensa ya makabila kufanywa, ikabaini wasukuma kuongoza ajira kwa wingi wakifuatiwa na wachagga, na wa tatu wakiwa wanyakyusa.
Ni kweli, chunguza hata viongozi waandamizi wa Mwalimu.Ha ha ha hiyo sensa alisimamia nani?
Ingawa alikuwa kiongozi mzuri lakini ukweli unabaki kuwa aliweka ndugu zake wengi kazini [hasa sehemu nyeti]. Kuna ndugu yake mmoja ambaye alikuwa anaishi changombe toroli, alikuwa na mchongo wa kununua malori yaliyopata ajali [kupitia bima] alidiriki kuwa na malori mengi tu ingawa kwa waliomfahamu alikuwa ni mtu wa kawaida tu ila kwa vile ni mtoto wa nyumbani, basi aliula vibaya sana.
Mkuu mimi nakaa upanga huyu mwaikambo alikuwa anakaa mtaa gani ?
Kabla hujafika kona ya ubalozi wa Cuba Kama unaelekea ngome?Opposite na shule ya TAMBAZA na ni eneo moja na mama Deborah Mwenda aliekua anatangaza kipindi cha Mama na Mwana cha RTD
Sehemu ya "ajali" ndo hiyo haswaa!Kabla
Kabla hujafika kona ya ubalozi wa Cuba Kama unaelekea ngome?
Nakumbuka sana 1995 mwili wake ukiletwa na ndege nikiwa darasa la tatu- mwenge primary school mbeya jiji tulikuwa kila tukiona mkusanyiko wa watu pale Airport tunakwenda kushangaa siku hiyo kumbe alikuwa Gibbons Mwaikambo. Tupe na ya Ephraim Mwasakafyuka!MODS mmeondoa thread hiyo hapo juu, ambayo kuna member aliulizia.
Nampa ukweli wa Gibbons Mwaikambo kwa ufupi.
Hii mada hata leo ina somo kubwa.
Watoto waliozaliwa majuzi hawawezi kumfahamu.
Gibbons Mwaikambo alizaliwa 1938 huko Tukuyu, Mbeya na alisomea Economics mpaka kiwango cha shahada ya Masters huko Moscow ,Urusi, 1967.
Gibbons alioana na Ester Mariki, binti wa kichagga.
Baada ya mashirika mengi kutaifishwa Gibbons alikuwa General Manager wa muda mrefu NIC, National Insurance Corporation.
Alisifika kwa kulipaisha kiuchumi shirika hilo na kufikia kuwa shirika moja lenye nguvu kiuchumi.
Baada ya kustaafu, miaka ya 80 akaona ajaribu mkono wake katika siasa.
Awali alikuwa kama sikosei, aidha wadhamini wa chama au idara ya chama ,WAZAZI, hili sina uhakika, lakini alikuwa kiongozi CCM.
Hata hivyo kwa sababu zisizojulikana alifanyiwa ile kitu inaitwa figisu na jina lake katika changuzi za ndani ya CCM halikupitishwa.
Mgombea mwenza wa nafasi hiyo alikuwa Emmanuel Mwabulukutu, afisa aliyekuwa wa muda mrefu wa Idara ya Usalama.
Kuiona hiyo figisu, na kwamba alikuwa kiongozi ndani ya CCM, kwa ghadhabu Gibbons alitaka kufanya maamuzi magumu kujitoa ndani ya chama na kujiunga na TLP, chama chenye nguvu, kilichokuwa cha upinzani kikiongozwa na Lyatonga Mrema.
Siri hiyo aliwaambia rafiki zake wa karibu.
Kosa kubwa.
Hakuna siri ya watu wawili. Na miaka ya Mwalimu kila mtu alikuwa anamchunguza mwenziwe.
Muda si mrefu siri iliwafikia wana Usalama kuwa kesho yake Gibbons anajitoa CCM.
Usiku huo huo Gibbons alitekwa.
Asubuhi yake gari lake lilikutwa limegonga ukuta wa nyumba moja ya kibalozi pale Upanga, naye amekufa ndani yake.
Ni wazi ilikuwa assasination.