Gibbons Mwaikambo

Gibbons Mwaikambo

Magodfather wa wanyakyusa ni Marehemu Gibson Mwaikambo na Marehemu Amon Nsekele hao ndio wanyakyusa walio kuwa na ushawishi mkubwa mpaka sasa


Sent from my iPhone using JamiiForums
Halafu wote walikuwa na nyadhifa za juu sana katika taasisi za fegha. Nsekela alikuwa Meneja Mkuu wa kwanza wa NBC wakati Mwaikambo akiwa Meneja Mkuu wa kwanza wa NIC.
 
Magodfather wa wanyakyusa ni Marehemu Gibson Mwaikambo na Marehemu Amon Nsekele hao ndio wanyakyusa walio kuwa na ushawishi mkubwa mpaka sasa


Sent from my iPhone using JamiiForums

They never dropped the ball....they were very keen to assist others.
Kuna wengine ni wabinafsi balaa. Wamezeeka sasa na vyeo wanavyo wengine sijui wanajisikiaje. Very egotists
 
Hiyo niliyowekea rangi nyekundu ni speculation yako tu mzee, kwa sababu hata mimi nilihudhuria msiba wa Mwaikambo nyumbani kwake wakati huo kwa vile ndugu yake mmoja alikuwa rafiki yangu. Mwaikambo alingia kwenye siasa ama mwaka 1980 au 1981 akiwa mbunge wa taifa kupitia Jumuia wa wazazi na aliendelea hadi mwaka 90; katika kipindi chake cha kwanza cha ubunge alifanya akiwa na kofia mbili, ubunge na umeneja wa NIC. Kama Mrema aliyehama kutoka Naibu Waziri Mkuu na kuwa mpinzani bado leo yupo hai, au Marandu aliyekuwa shushushu wa kutupwa wa serikali lakini aliondoka na kuaanzisha NCCR-Mageuzi naye bado yupo; unapata wapi imani ya kuwa serikali ilimuua Mwaikambo? Gari lake alilokuwa akiendesha na nguzo aliyogonga hadi kuanguka na gari hilo vyote vilionekana wakati huo na alikuwa peke yake kwenye gari.

Hizi conspiracy theories wakati mweingine zinasaidia kugawanya taifa bila sababu yoyote.
Hakuna mahali nimesema serikali imeua, soma vizuri, nimesema inawezakana ni assasination.
Na assasination si lazima ifanywe na serikali, hata mtu binafsi anaweza kuua, tatizo ni kwa malengo yepi.

Lakini yote ni unproven.
Hebu nikuulize maana ulikuwepo, postmortem ilifanyika?
 
Hiyo niliyowekea rangi nyekundu ni speculation yako tu mzee, kwa sababu hata mimi nilihudhuria msiba wa Mwaikambo nyumbani kwake wakati huo kwa vile ndugu yake mmoja alikuwa rafiki yangu. Mwaikambo alingia kwenye siasa ama mwaka 1980 au 1981 akiwa mbunge wa taifa kupitia Jumuia wa wazazi na aliendelea hadi mwaka 90; katika kipindi chake cha kwanza cha ubunge alifanya akiwa na kofia mbili, ubunge na umeneja wa NIC. Kama Mrema aliyehama kutoka Naibu Waziri Mkuu na kuwa mpinzani bado leo yupo hai, au Marandu aliyekuwa shushushu wa kutupwa wa serikali lakini aliondoka na kuaanzisha NCCR-Mageuzi naye bado yupo; unapata wapi imani ya kuwa serikali ilimuua Mwaikambo? Gari lake alilokuwa akiendesha na nguzo aliyogonga hadi kuanguka na gari hilo vyote vilionekana wakati huo na alikuwa peke yake kwenye gari.

Hizi conspiracy theories wakati mweingine zinasaidia kugawanya taifa bila sababu yoyote.
Mkuu siasa ni ulevi wa aina yake.
Ushindani wake ni hadi wapinzani kuuana.
Hapa Rungwe Mwenyekiti wa CCM, John Mwankenja aliuwawa kwa risasi, kisa ni ushingani tena NDANI ya chama tawala.
Spika wa Bunge yuko on record kupiga mtu kwa gongo hadi kupoteza fahamu.

Siasa za ushindani Bongo zina vituko.
 
Mkuu kwa siye tuliokuwa tuna mfahamu zee Gibbons Mwaikambo, alikuwa mmoja wa Wadhamini(financiers) wa Chama, pili alikuwa Mwenyekiti wa Idara ya Chama Wazazi.

Kuhusu ajira pale Bima ni kweli wanyakyusa walikuwepo wengi lakini baada ya Bungeni kuulizwa swali hilo na sensa ya makabila kufanywa, ikabaini wasukuma kuongoza ajira kwa wingi wakifuatiwa na wachagga, na wa tatu wakiwa wanyakyusa.
Nafikiri haikuwa ishu ya kabila gani wengi lakini kabila gani linapendelewa. Lame excuse

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa upanga alipata ajali sehemu gani ? Maliki street Au mathuradas
 
Wakati nasoma tambaza kuna sehemu ya ukuta pale ubalozi wa zaire (congo drc) mpka 1996 palikuwa hapajajengwa , ndiyo sehemu alipogonga ukuta ,simulizi ni kuwa alikuwa anawakimbia wasiojulikana ndipo alipogonga ukuta wa ubalozi na kupata mauti

Sent using Jamii Forums mobile app
Ubalozi wa kongo c pale makao makuu ya skauti ? Ndio hapo alipopatia ajali ?
 
Mkuu kwa siye tuliokuwa tuna mfahamu zee Gibbons Mwaikambo, alikuwa mmoja wa Wadhamini(financiers) wa Chama, pili alikuwa Mwenyekiti wa Idara ya Chama Wazazi.

Kuhusu ajira pale Bima ni kweli wanyakyusa walikuwepo wengi lakini baada ya Bungeni kuulizwa swali hilo na sensa ya makabila kufanywa, ikabaini wasukuma kuongoza ajira kwa wingi wakifuatiwa na wachagga, na wa tatu wakiwa wanyakyusa.
Ha ha ha hiyo sensa alisimamia nani?
Ingawa alikuwa kiongozi mzuri lakini ukweli unabaki kuwa aliweka ndugu zake wengi kazini [hasa sehemu nyeti]. Kuna ndugu yake mmoja ambaye alikuwa anaishi changombe toroli, alikuwa na mchongo wa kununua malori yaliyopata ajali [kupitia bima] alidiriki kuwa na malori mengi tu ingawa kwa waliomfahamu alikuwa ni mtu wa kawaida tu ila kwa vile ni mtoto wa nyumbani, basi aliula vibaya sana.
 
Ha ha ha hiyo sensa alisimamia nani?
Ingawa alikuwa kiongozi mzuri lakini ukweli unabaki kuwa aliweka ndugu zake wengi kazini [hasa sehemu nyeti]. Kuna ndugu yake mmoja ambaye alikuwa anaishi changombe toroli, alikuwa na mchongo wa kununua malori yaliyopata ajali [kupitia bima] alidiriki kuwa na malori mengi tu ingawa kwa waliomfahamu alikuwa ni mtu wa kawaida tu ila kwa vile ni mtoto wa nyumbani, basi aliula vibaya sana.
Ni kweli, chunguza hata viongozi waandamizi wa Mwalimu.
Wengi walikuwa "True North".
 
MODS mmeondoa thread hiyo hapo juu, ambayo kuna member aliulizia.
Nampa ukweli wa Gibbons Mwaikambo kwa ufupi.
Hii mada hata leo ina somo kubwa.



Watoto waliozaliwa majuzi hawawezi kumfahamu.


Gibbons Mwaikambo alizaliwa 1938 huko Tukuyu, Mbeya na alisomea Economics mpaka kiwango cha shahada ya Masters huko Moscow ,Urusi, 1967.
Gibbons alioana na Ester Mariki, binti wa kichagga.

Baada ya mashirika mengi kutaifishwa Gibbons alikuwa General Manager wa muda mrefu NIC, National Insurance Corporation.
Alisifika kwa kulipaisha kiuchumi shirika hilo na kufikia kuwa shirika moja lenye nguvu kiuchumi.

Baada ya kustaafu, miaka ya 80 akaona ajaribu mkono wake katika siasa.
Awali alikuwa kama sikosei, aidha wadhamini wa chama au idara ya chama ,WAZAZI, hili sina uhakika, lakini alikuwa kiongozi CCM.

Hata hivyo kwa sababu zisizojulikana alifanyiwa ile kitu inaitwa figisu na jina lake katika changuzi za ndani ya CCM halikupitishwa.
Mgombea mwenza wa nafasi hiyo alikuwa Emmanuel Mwabulukutu, afisa aliyekuwa wa muda mrefu wa Idara ya Usalama.

Kuiona hiyo figisu, na kwamba alikuwa kiongozi ndani ya CCM, kwa ghadhabu Gibbons alitaka kufanya maamuzi magumu kujitoa ndani ya chama na kujiunga na TLP, chama chenye nguvu, kilichokuwa cha upinzani kikiongozwa na Lyatonga Mrema.
Siri hiyo aliwaambia rafiki zake wa karibu.

Kosa kubwa.

Hakuna siri ya watu wawili. Na miaka ya Mwalimu kila mtu alikuwa anamchunguza mwenziwe.

Muda si mrefu siri iliwafikia wana Usalama kuwa kesho yake Gibbons anajitoa CCM.
Usiku huo huo Gibbons alitekwa.
Asubuhi yake gari lake lilikutwa limegonga ukuta wa nyumba moja ya kibalozi pale Upanga, naye amekufa ndani yake.
Ni wazi ilikuwa assasination.
Nakumbuka sana 1995 mwili wake ukiletwa na ndege nikiwa darasa la tatu- mwenge primary school mbeya jiji tulikuwa kila tukiona mkusanyiko wa watu pale Airport tunakwenda kushangaa siku hiyo kumbe alikuwa Gibbons Mwaikambo. Tupe na ya Ephraim Mwasakafyuka!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom