Gibson Sembuli, Ahmed Jongo na Mbaraka Mwinshehe

Mkuu hizi ni fantacy zetu waswahili tu. Hakuna kitu kama dua. Lingekuwepo yule polisi Mafwele angekuwa kaburini sasa hivi
 
Hivi sasa usiku huu tbc taifa wanapiga nyimbo kumsifua sembuki,anaongoza kioindi mbazigwa hassan
 
Ni kweli kabisaa. Sembuli alikuwa akichana nyavu.
Gaga Hamis alipiga penalty moja pale Sokoine stadium,dah!
Mpira aulikutwa jukwaa la makaburu (Kaskazini)
Mkuu unamaanisha Hamisi Gaga "Gagarino"?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…