Giggy Money aja na SUPU

Giggy Money aja na SUPU

Sio kwa muktadha huo...bila kujali mzazi yuko wapi, kama mtoto alilelewa kwa maadili mema hawezi kuja kuharibika ukubwani, ziko kesi za namna hiyo lakini si nyingi....wazazi na walezi mara nyingi ndio huwa chanzo cha hata yote
Ukweli mtupu,mzazi usipomlea mwanao katika njia inayopasa madhara yake ndio haya sasa.
 
hivi mtu anaanzaje kuanika makalio nje

una wazazi? mama, baba
kisha utapelekwa ukweni kheeeeeeeeeeee sijui wanakupokeaje aisee
 
hi supu itakuwa zaid ya chura gigymaney bana kukaa uch ndo inamfanya aish mjin
 
aibu kubwa!.Jaman watu wanaohusika na maadili nchini huyu awekwe gerezani tu! hakuna namna! khaaaaa
 
Back
Top Bottom