Mkuu ndiyo maana mie ndiyo nasemaga hakuna penye watu wanakfi kama humu JF.Hapana nasemea watu wanao ponda kuhusu huyo demu na staili yake ya maisha, si sawa kila mtu humu ana aina yake ya maisha na si lazima impendeze kila mtu... Mtu akiona Supu haimfai kunywa anaenda kula mtori tu sio ishu
Nklikuwa nashauri tupunguze unafki
heeeeeee najua ni kaushuzii kake kumbe ka magumasi?
Gigy nae hapigi picha bila kujibinua[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hio pichu ni size ngapi? Mana hicho kiota ni kikubwa sana.
MWANGA MKUBWA,PAMBAF.
Anapenda kukaa uchi
Huyu dada ana matatizo
Hivi Sheria ya Makosa ya Kimtandao ni pambo ?
Huyu ndo Giggy bhana....Chura wa Kinyakyusa
Jiandaeni kunyweshwa supu !!!
Supu ya moto
Kunywa supu kwa afya
[emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
Tena na hivyo sukari haipatikani siku hizi mweeeh....mbona atavuna wateja lukuki.Nendeni mkanunue supu acheni kulalama
haahaahaawazazi wao wako kijijini,awana smartphone.