Apo chacha!!
Dada angu giggy money uko unapoelekea sasa si mahala pazuri,nakusihi badirika bado haujachelewa achana na huu upuuzi wa kuonyesha nyeti zako njee .View attachment 418168 View attachment 418168
Kwaiyo??Hii inaonyesha kwamba internet sasa imefika mpaka vijijini, maana town hivi ni vitu vidogo tu.
Aisee!! Nimesikitika sana kuona mambo anayofanya huko IG.Yaani hapo mwenzio ndio amejistiri wewe unaona yupo uchi?
Au haujaziona picha zake alizokaa kihasara hasara hebu nenda kwenye account yake ya IG umuone kwanza mwenywe anakwambia asipokaa hovyo wewe hauwezi kuangalia picha zake so brand yake ni hiko kizibo cha asali na huwa anafanya matangazo ya chupi.
Ungekuwa mwanamme ungeonambona sioni kitu
Kwaiyo? ✖
Kwahiyo? ✔
HahahaaaaaWeka pics za kampala dio unaleta vitisho hapa...leta picha
Dada. Huoni power cables 2 na mult plug 1 nyeupe! Sitaki kuamini dada.mbona sioni kitu
Apo chacha!!
Dada angu giggy money uko unapoelekea sasa si mahala pazuri,nakusihi badirika bado haujachelewa achana na huu upuuzi wa kuonyesha nyeti zako njee .View attachment 418168 View attachment 418168