"Gigi Money amtabulisha mpenzi wake ni mtangazaji wa redio!

Ujana kazi. Hivi hawa vijana wengine wana wazazi au ndugu? Au hata marafiki wa kweli wa kuwashauri?? .... Najiuliza
 
Hakuna msafi nyie wote mnaomponda wengi wenu mnafanya mambo ya hovyo kisiri siri acheni wafanye yao people do change,kuna wengine humu kama mambo yenu yangewekwa wazi hakika msingetamaniwa hata na fisi
 
Jamani gigy mbona hanaga tatizo. Wengi tumewaona wamecheza picha za X lakini wako ndani wametulia na kuza. Na maceleb wakubwa wakina Kim Kanye alimpenda baada yakuona video yake ya x. Na Trump hivyo hivyo.
 
mbona jamaa anaonekana smart sana aisee..haendani kabsa na hilo litukunyema uza makalio..
 
Hata pornstars wanawapenzi.....kama wamependana ama maigizo juu yao...
 
Jamaa kapotea mazima ila hajui kama kapotea
 
Japo sja angalia hiyo video.

Hivi mtu unapoamua kuwa mpenzi wa Giggie
Unakuwa una tegemea nn!!?
Jamaa ana roho ngumu na atakuwa kajiandaa kisaikolojia.
Huyo jamaa anatafuta umaarufu
 
Asimuoe .....
Hajampata mtu wa kumtuliza, huyo anatulizwa sema mabrazameni wamejaa mjini siku hizi.
 
Jamaa huyu anaroho ngumu
Anaweza iba kuku aliehifadhiwa kwa ajili ya kilio
 
Bongo kweli nyoso,huko duniani hivi vitu ni vya kawaida kabisa. Will Smith amemuoa Jada akiwa ameshacheza picha za xxx itakuwa huyo Gigi. Huyo mbona ni wife material kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…