GIGY money afanya balaa kwenye Studio za wasafi classic, Rayvany alazimishwa

Hivi haka huwa kana matatizo gn

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Umeona eee! Maana si kwalimsabwanda lile, sa hivi kakongoroka yani daaah...nadhani hata tatoos akichora haoneshi km zama zileee[emoji81] [emoji81]
tattoo imebadilika from ua hadi tembele,si kwa kusinyaa vile
 
Halafu eti boss wa wasafi amevaa kanzu kilemba full muislam lkn amekaa na kahaba hapo ni full zambi #Lana%hizoo@%#

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Wewe unafanya zambi ngapi kwa siku? Toa unafiki hapa akifanya mtu maarufu ndio mnaona zambi ila ukifanya wewe starehe. Nyambaaafu

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Halafu eti boss wa wasafi amevaa kanzu kilemba full muislam lkn amekaa na kahaba hapo ni full zambi #Lana%hizoo@%#

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo ukisimama na mtu mwenye dhambi nawe pia unapata dhambi ? Basi nadhani masheikh na makisisi wote wataenda motoni

Najisikia fahari kuwa MTANZANIA
 
Halafu eti boss wa wasafi amevaa kanzu kilemba full muislam lkn amekaa na kahaba hapo ni full zambi #Lana%hizoo@%#

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Mmmhh
 
Inataka moyo kukataa mauno ya huyu MHENGA giggy

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mama yake mwenyewe alikuwa anajiuza Kurasini

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Msambwanda wote umekwisha,hiyo diet sio ya nchi hii.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Halafu eti boss wa wasafi amevaa kanzu kilemba full muislam lkn amekaa na kahaba hapo ni full zambi #Lana%hizoo@%#

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
We zambi huna .....mbona unapenda kuhukumu
 
Inasemekana G na Lulu wana kapepo fulani hivi.. hata ndugu yetu wa iefuem aliyetangulia mtaani wanadai alipita na Gigy na Lulu..
 
Sasa wakianza kuporomoka vipi wakati wameshaporomoka,hata huyo boss wao anachokiimba hakionekani amekuwa muuza karanga tuu

Post sent using JamiiForums mobile app
Unajitekenya afu unacheka mwenyewe

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Halafu eti boss wa wasafi amevaa kanzu kilemba full muislam lkn amekaa na kahaba hapo ni full zambi #Lana%hizoo@%#

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Kiremba na kanzu ni vazi la asili la mashariki ya kati ikiwemo nchi za kiarabu na sio vaZi la kiislam coz hata wayahudi wanavaa....usikariri,nyie ndo mkiona alama + unaita msalaba wakati yaweza kua ni alama ya jumlisha.
 
Halafu eti boss wa wasafi amevaa kanzu kilemba full muislam lkn amekaa na kahaba hapo ni full zambi #Lana%hizoo@%#

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Usihukumu usije ukahukumiwa
 
Ngoma haimuachag mtu
Salama

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…