Gigy money aitosa mahali ya milion 5 anataka 10-15

K kavu kama nini haina hisia kabisa kama kuna aliewai toka nae atakupaliana na mimi
 
Kama natoa 10-15m anatoa 20m....(ATM) niko tayari hata sasa. Lakini nikitoa hizo halafu tunaanza kungumika! Thubutuu! Haitoki hata mia. Nyie subirieni muda utasema, ataanza nata wa 5m baadae atasema yoyote leteni. Mtakuja kuniambia.
Kweli mkuu
 
Walikuwepo kitambo akina Ray C.
Lakini leo wako wapi? Hadi wanaomba 60+ ili wamalizie pensheni na wazee.

Sasa, ni wakati wake. Acha ajipangie Mahari, lakini ipo siku atakumbuka hata hizo 5m.
 
Malapulapu haya nani aie..huyu mahari kalipiwanyingi sana elfu 80
 
Kwasasa avyopukutika hata mil 2 hakuna wa kutoa wanaume walikua wanapenda Chura sasa hana tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…