jay311
JF-Expert Member
- Oct 21, 2012
- 2,932
- 2,715
Mbuzi mmoja anatosha tu.
Hahaha.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbuzi mmoja anatosha tu.
Mkuu tangu lini mfupa ulioliwa na mbwa ukawa na utamu?Atakufa na utamu wake
Kweli mkuuKama natoa 10-15m anatoa 20m....(ATM) niko tayari hata sasa. Lakini nikitoa hizo halafu tunaanza kungumika! Thubutuu! Haitoki hata mia. Nyie subirieni muda utasema, ataanza nata wa 5m baadae atasema yoyote leteni. Mtakuja kuniambia.
Inawezekana ikawa ni PROMO.Ukiona jamaa anaomba discount ujue hakuna muoaji hapo, anataka apige asepe zake.