Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

Status
Not open for further replies.
Lcub 84 enzi za akina Mzee Mapesa Acha kbs hawa unamkuta dingi na wadada kama 7 wamemzunguka kwenye kochi
 
Mkuu kama kaiona hiyo video sidhani kama atakuwa na nguvu ya kwenda ofisini leo hii.

Namuwazia mkewe kesho asubuhi anaamka kapendeza anaenda ofisini watu wanamtazama kama nyanya mbichi[emoji21] [emoji21]

Ni fedheha tupu....

Na akili za gigy tunazijua kilichomsibu Alberto kujirecord ni nini[emoji35] [emoji35] [emoji36]
 
Hata uwe nani kwa ile papuchi ya huyo gigi ilivyonona hakika mwanaume wa kweli lazima udate
 
Huyu Msando si kaoa jamani? Uchafu gani huu?
Kiukweli hapa tu ndipo huwa nshindwa kuwaelewa wanawake wenzangu. Mwanaume pamoja na uchafu huu bado atakuwa proud nae! Dah


We dada vipi? Kuoa Bongo ni sinema tu....haijalishi chochote. Wangapi wameoa na wako na machangu 24/7? Usizubae kihivyo, tunawaona kila siku mitaani na vilabuni. Kama umeolewa nafikiri utakuwa unajuwa namaanisha nini. We unafikiri kwa nini wanawake wa Tanzania ndiyo wanao ongoza kuwa na watoto wa kuzaa na mabwana wa nje hapa Afrika mashariki?
 
Mnamshangaa msando, siku ukibahatika Kuingia 84 au Maisha club Dodoma mbona utabaki mdomo wazi, Kuna waheshimiwa wanajua kubambia na kubahishia, utazani beberu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Itakuwa huna mume wewe.Kama unaye basi ni kapuku
Hivi nyie mnachokitetea ni kipi hasa? Kwahiyo kuwa mwanaume tena uliyeoa ni sifa kufanya uchafu huu na kujirekodi?
Leo hii mkewe na familia yake kiujumla imedhalilika kiasi gani?
Huyo Msando kama mwanasheria anayeheshimika kajivua heshima kiasi gani?


Nachelea kusema kwa kutetea uchafu huu nyinyi ni wanaume wa hovyo kabisa!


 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ni heri usinunue kabisaaaaa pilipiili kama ndo hivo
Hahahah mwambie ivyo panjuan/ranjit kama atakuelewa, u cant hide [emoji36]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Shemela kama wewe ni wa ule upande wa ndoa yake mke mmoja basi ndo hivyo hadi kifo kiwatenganishee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji23] [emoji23] .

Swali ni je ikiwa hadharani yanafanyika haya vipi vyumbani/gizani.
Hata kama shemela, hii ni aibu kubwa sana!
Kumbe ndio maana jamaa anapenda kuwaganda hawa wadada wa mjini?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…