Ubaya hivi vitu havifutiki... Huu msalaba itabidi tuu aubebe hana namna.Mkuu kama kaiona hiyo video sidhani kama atakuwa na nguvu ya kwenda ofisini leo hii.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] chizi wewe.Alivyo papasa ku ustadiii[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] sijui alitumia kifungu gani cha sheria[emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sawaHahahah mwambie ivyo panjuan/ranjit kama atakuelewa, u cant hide [emoji36]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
We vp mfadhaiko na maisha ya watu? Una mume ww au singo maza?Yaani Mimi Jana nimelala na mfadhaiko mkubwa moyoni,nilifadhaika sana na bado siitamani ile video ipite machoni mwangu. Kwa kweli mke wa msando anamsiba mwanamke mwenzetu
Heheeheeeeee kapyungu apilike syosya. Tusubiri inyeleKapyungu = muongeaji sana, in short mmbea, mama alikuwa anatutania sana tukimsemelea
Hahahaaaa mkuu utakua umelambwa sana inyele kwa ajili ya ukapyungu wakoHa ha ha gwa kumyitu
Nifah mya dear huu ubuyu hukuwahi kuupata?! Alikuwa anamla BOSS wake marehemu Nyag...yule aliefia Nairobi " inasemaekana baada ya msando kuoa na kibarua ndio kikaishia hapo, ..Jamaa anauzoefu wa kufumua marinda.Marehemu yupi tena jamani? Tupe ubuyu mkuu [emoji6]
Umesema vemaNa kwa bahati nzuri wanawake karibu wote kwenye ndoa tunalijua somo la mchepuko haliwaingii wanaume mlio wengi lakini Somo la kujiheshimu na kulinda privacy yako tunawaomba sana mlizingatie. Mnajua kwanini baadhi yetu hata tukiwakamata katika simu zenu hatupayuki kwa makelele!? Ni kwa sababu hatutaki kuwapa watu faida wayajue madhaifu yenu (yetu), sasa mkijirekodi kama hivi Vikitoka hadharani mnakua si tu mmejichafua Bali mmeichafua taswira nzima ya familia
Share hiyo video pseKiukweli sijui ana hali gani.Maana zile show off za insta za kumsifia na hii video ndo maumivu kabisa.swali anafanya haya na wangapi? [emoji24] [emoji24] naanza kuamini Ile ya Kipindi kile na Lulu ilikuwa kweli...Tunajua wanaume wanacheat ila kinachoumiza ni kujua anacheat na flani tena si kujua tu yani nchi nzima imejua anacheat na nani tena kwa ushahidi[emoji17] [emoji17]
Always men's have their ways.
Msando alishindwa kufanya siri mpaka akaruhusu kurekodiwa.
Msando ndio ambae ACT wamempa nafasi ya ushauri wa Chama nafasi ya Kitila.. Kama gigi kamfanya hivi, je Wema aliemtetea katika kesi kamfanyaje
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] chizi wewe.
mkuu na mimi nitumie pls..Njoo pm nikutumie whatsapp
itumie waspp.. pls..Ambao hamjaiona video nendeni kwa shilolekiuno_official (shishi boy)
Mimi nimeionea huko.
Mange kaiweka na kuifuta ndani ya sekunde, sijui Msando kampandia hewani? [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu BAK!!! Mibio yote hiyo kisa ukaone kakideo ka Giggy anavyo kata mauno? Tufanye ungejikwaa ukaanguka halafu maza hausi ana kuuliza ''ulikuwa unakimbilia wapi?'' Sijui utasema kwa Giggy!! [emoji23] [emoji23] [emoji23]Naona umechelewa aisee! labda wameishaiondoa, mie nilishindwa kuifungua kwa simu ikabidi niwahi kwenye pc tena iko very clear kabisa.
Oooohhhh LordNifah mya dear huu ubuyu hukuwahi kuupata?! Alikuwa anamla BOSS wake marehemu Nyag...yule aliefia Nairobi " inasemaekana baada ya msando kuoa na kibarua ndio kikaishia hapo, ..Jamaa anauzoefu wa kufumua marinda.
kunasiku nilimshuhudia mzee cheyo pale fusion kwasasa flames mzee kazungukwa na vibinti vitatu vimeganda zee langu kama kama linapiga matouch touch yahapa napale duuh nilishanga kama mshamba anaeingia mjiniMnamshangaa msando, siku ukibahatika Kuingia 84 au Maisha club Dodoma mbona utabaki mdomo wazi, Kuna waheshimiwa wanajua kubambia na kubahishia, utazani beberu.