Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

Status
Not open for further replies.
Hahahah mwambie ivyo panjuan/ranjit kama atakuelewa, u cant hide [emoji36]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sawa
 
Marehemu yupi tena jamani? Tupe ubuyu mkuu [emoji6]
Nifah mya dear huu ubuyu hukuwahi kuupata?! Alikuwa anamla BOSS wake marehemu Nyag...yule aliefia Nairobi " inasemaekana baada ya msando kuoa na kibarua ndio kikaishia hapo, ..Jamaa anauzoefu wa kufumua marinda.
 
Umesema vema
 
Share hiyo video pse
 
Msando ndio ambae ACT wamempa nafasi ya ushauri wa Chama nafasi ya Kitila.. Kama gigi kamfanya hivi, je Wema aliemtetea katika kesi kamfanyaje

Aliingiza Kichwa chake chote kabisa kunako Kokwa la Wema.
 
Ujana ndo uu mwache ajiachie atapumzika akiwa babu..
 
N
Ambao hamjaiona video nendeni kwa shilolekiuno_official (shishi boy)
Mimi nimeionea huko.
Mange kaiweka na kuifuta ndani ya sekunde, sijui Msando kampandia hewani? [emoji23][emoji23][emoji23]
itumie waspp.. pls..
 
Mbona kashika shika tu kwa juu ya kipensi,tena cha jeans. Oil gani iliyopimwa hapo, au macho yangu mabovu
 
Naona umechelewa aisee! labda wameishaiondoa, mie nilishindwa kuifungua kwa simu ikabidi niwahi kwenye pc tena iko very clear kabisa.
Mkuu BAK!!! Mibio yote hiyo kisa ukaone kakideo ka Giggy anavyo kata mauno? Tufanye ungejikwaa ukaanguka halafu maza hausi ana kuuliza ''ulikuwa unakimbilia wapi?'' Sijui utasema kwa Giggy!! [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nimekumbuka wimbo wa jide, ze ndi ndi ndi, ule mstari usemao " chizi huwa haponi" maskini Jack alikuwa na wengine wengi wakiwania ndoa na msando, wengi na walikuwa wanajuana ila walimuachia msando aamue mwenyewe na ktk waliokuwa wana ligi kali ni yule demu wa SAUT alieachiaga picha za uchi na Jack, na aliekuwa na uhakika wa ndoa ni yule demu ila kuvuja kwa picha ikawa ahueni kwa Jack maana msando hakupendezwa, Jack akachukuliwa kwa ndoa ya maana maana ilikuwa harusi kweli akafikiri amepata utulivu kamchukua msando jumla, maskini kumbe aibu ndio ilikuwa inaanzia hapo, huyu bwana alisemwa sana kumla uroda bosi lakini wanawake wengi wanapenda hela hawakujali aibu walijali magari ya kifahari na nyumba nzuri, wanaume hapana jamani, yaani ni kama kamba za viatu wanaingiza matobo yote..
 
Nifah mya dear huu ubuyu hukuwahi kuupata?! Alikuwa anamla BOSS wake marehemu Nyag...yule aliefia Nairobi " inasemaekana baada ya msando kuoa na kibarua ndio kikaishia hapo, ..Jamaa anauzoefu wa kufumua marinda.
Oooohhhh Lord
 
Mnamshangaa msando, siku ukibahatika Kuingia 84 au Maisha club Dodoma mbona utabaki mdomo wazi, Kuna waheshimiwa wanajua kubambia na kubahishia, utazani beberu.
kunasiku nilimshuhudia mzee cheyo pale fusion kwasasa flames mzee kazungukwa na vibinti vitatu vimeganda zee langu kama kama linapiga matouch touch yahapa napale duuh nilishanga kama mshamba anaeingia mjini
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…