Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

Status
Not open for further replies.
Kabisa hakuna jipya apo kaonekan kwa kua ni maarufu ila kuna watu wa kawaida wanafanya machafu kuliko ayo na mwanamke anamsameh mume wake na maisha yanaedlea vzuri
 
hahahaha kule dodoma ni balaa kabisa woyooo
Mnamshangaa msando, siku ukibahatika Kuingia 84 au Maisha club Dodoma mbona utabaki mdomo wazi, Kuna waheshimiwa wanajua kubambia na kubahishia, utazani beberu.[
 
Nifah mya dear huu ubuyu hukuwahi kuupata?! Alikuwa anamla BOSS wake marehemu Nyag...yule aliefia Nairobi " inasemaekana baada ya msando kuoa na kibarua ndio kikaishia hapo, ..Jamaa anauzoefu wa kufumua marinda.
Uwiiiiiiii nilikuwa silijui hili shoga! [emoji86] [emoji86]
 
Uwiiiiiiii nilikuwa silijui hili shoga! [emoji86] [emoji86]
Inasemekana walikuwa wanabanduana yaani mmoja akifanya leo nae kesho yake anafanywa, hawa jamaa eti nguvu zao za kiume ni haba sana na wote walikuwa wana list ya mademu wengi walikuwa wa kuzugia tu kkuficha uchafu wao, marehemu na pesa yake na wadhifa wake laikini hakuwahi kuoa wala kuishi na mwanamke.
 
Moyo sukuma damu si vinginevyo
Yaani najaribu kuvaa kiatu cha hyu dada kinanipwaya
Watu wanacheat sawa ila hii ya kusambaa mitandaoni duuuu
Aibu kubwa hii Wii. Na hapo ni dhahiri walienda kufanya yao!
 
Daaaah tatizo lako Don unataka mastaa wote uwale..

Hao uliowala hawakutoshi kwani wakili msomi? But feel so sorry for you bro, wife amepitia mengi hata hili pia litapita
Mastaa ndio hao akina gigy nini sijui? Hapo ulimbukeni tu ndio unasumbua.....hauondoki hata pesa zijae vipi! Kama yule Said nani sijui.
 
Huyu jamaa nae bwege kweli kakosa mademu mpaka anaenda kujidhalilisha kwa ilo goma la kitaa.......kama kakosa kabisa bora angetulia tu apige puchu
 
Eeeeeeehhhhhh [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] huyu Msando nilikuwa sifuatilii mambo yake kumbe ndio yuko hivi?
Hapana kwakweli, mkewe nae naona anasubiri kaburi.
 
Shoga unawajua haswaaaaa. Huyo Jack nae mjinga sana.
Ni bora niolewe na mwanaume masikini ila mstaarab na sio mpuuzi kama huyo Albert.
 
sipo huko cm ilizingua yaani hapa mkojo umebana kwa kupitwa na hili....
Angalia kuna post hapo juu wameweka, angalia kama siyo nitaenda kukutafutia link YouTube, poleeeee
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…