Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

Status
Not open for further replies.
Siwezi kumu underestimate hata kidogo msomi na mwenye hela zake.....lakini kuhangaika na akina gigymoney hakuendani na status yake.
Hapo mwishoni ndiko kumuunderestimate kwenyewe kaka.
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mwasu sisi ndio wanaume[emoji12]
 
Sasa utabaki na mimi kapuku nisie-cheat (au sometimes na-cheat vile vile) ule mchunga na matembele sio?
kwaiyo wataka kuniambia 'raha za benzi sio sawa na raha za baiskeli sio?'

well!............once you are a mother and married wife according to christian ways you are always in for it whether
you want or you don't!
ila maumivu yake jaman ni makali usipime
 
Nakwenda na flow dada.....
 
Mkuu ze bolidi bi keafuli si unaiona misimamo banda ya mamsapu kwenye sredi

Be warned
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mwasu sisi ndio wanaume[emoji12]
Na kweli mkuu nyinyi ndio baba zetu, lakini tuoneeni huruma basi?! Haa yaani hata mashimo ya maji taka mnadumbukia tu halafu mkirudi manataka mnyonywe?! Nalia kwa uchungu mkuu huruma, huruma tu ndio tuombacho, mkituhurumia mtatuheshimu.
 
[emoji72] [emoji72] [emoji72] [emoji72]
 
if this is what you are calling 'mess around' poleni sana
The difference is he was taped.. Kim had a sex tape but still aliolewa..

Yaani unataka kuniambiwa mkewe aanze kupalaganyisha familia na vile vitoto bado vidogo aanze kuvichanganya kwasababu tu ya hiyo tape? Namwonea huruma mkewe lakini siungi mkono wanaosema eti ningekuwa mimi ningemuacha huyo mwanaume.. Keeping the marriage is the best thing than letting it go, tena ukizingatia watoto bado wadogo..
 
Haya mkuu alichofanya wakili msomi ni sawa tu kwasababu wanaume wote tuko hivyo.
Sio sawa lakini walikuwa kwenye unsound mind.. Na sio kweli kwamba amefanya hayo on purpose; but lesson well learnt
 
Na kweli mkuu nyinyi ndio baba zetu, lakini tuoneeni huruma basi?! Haa yaani hata mashimo ya maji taka mnadumbukia tu halafu mkirudi manataka mnyonywe?! Nalia kwa uchungu mkuu huruma, huruma tu ndio tuombacho, mkituhurumia mtatuheshimu.
mwasu kulikuwa na demu mmoja apo udsm alikuwaga anatoka na beto, jaman yule mdada ni kama vile Mungu alimtapika kutoka kwenye kinywa cha haya maumivu.
hope Tina unaenjoy maisha yako ya ndoa, na haya maumivu yamekupita. Mungu azidi kukutunza na ndoa yako.

Jack mdogo wangu umefika wakati sasa wa kutulia chini uanze kusali sana Mungu aokoe ndoa yako. tayari una mtoto mzuri handsome wa nguvu. usitake huyu shetani amfanye achukie kuzaliwa na nyie. kama mama unaweza kufanya jambo. piga goti sali sana ombea ile neema ya wokovu ije nyumbani kwako.
 
...being taped doesnt mean he didnt TAP that pussy......mkuu wewe unakoleza moto tu, kijana kakosea kaomba radhi ila inabidi awe makini na watu anaoruka nao maanake wengine kurusha hizo clip wananufaika.......
 
Ambao hamjaiona video nendeni kwa shilolekiuno_official (shishi boy)
Mimi nimeionea huko.
Mange kaiweka na kuifuta ndani ya sekunde, sijui Msando kampandia hewani? [emoji23][emoji23][emoji23]
Ahahah nimeiona mkuu..asante kwa link
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…