Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Umeona new hashtag teh [HASHTAG]#gigymsando[/HASHTAG]Kama mnajua hilo basi okoeni familia zenu.
Ndio ubaya huo, na ukutane na watoto ambao pia maadili yalipita pembeni watambully na hiyo video hadi ajute!!Kabisa yani.. Aisee hizi ndizo kati ya hasara chache za social networks. Huwezi kuficha aibu yako milele, yaani hizo videos mpaka wajukuu watakuja kuziona babu yao aliyokuwa anayafanya..
Acha uchochezi wa kibwege... Kwani hiyo ndoa ikimwagika utaolewa wewe... Mwangalie Albert usoni utaona facial expression ya uoga, mawazo, kujutia na kujilaumu. Hapa mangi anatakiwa ampe Mke vacation aende ndi yoyote na ampe uhuru wa kufanya uhalifu wa kindoa kwa Kiwango kidogo.... Hapo anaweza akawa na Amani na akarudisha uanaume wake.msamaha. Com.
Hana hata wasiwasi
Masikini mkewe na mwanae!! Daaah too bad.Umeona new hashtag teh [HASHTAG]#gigymsando[/HASHTAG]
Hawa wote ni watoto Wa msando[emoji15]View attachment 512548
Anaiabisha familia yake
Ampe uhuru wa kufanya uhalifu wa ndoa!! Kwahiyo kosa moja linahalalishwa na kosa lingine!!!Acha uchochezi wa kibwege... Kwani hiyo ndoa ikimwagika utaolewa wewe... Mwangalie Albert usoni utaona facial expression ya uoga, mawazo, kujutia na kujilaumu. Hapa mangi anatakiwa ampe Mke vacation aende ndi yoyote na ampe uhuru wa kufanya uhalifu wa kindoa kwa Kiwango kidogo.... Hapo anaweza akawa na Amani na akarudisha uanaume wake.
Siku hizi naona ni no vacation hadi mume achepuke mweeehAmpe uhuru wa kufanya uhalifu wa ndoa!! Kwahiyo kosa moja linahalalishwa na kosa lingine!!!
Imbombo ngafu my dota.Siku hizi no vacation hadi mume achepuke mweeeh
Mbona umepanic sana.. Huyu kijana machachari albert sijui alubato kishakupima oil nini?Hivi nyie mnachokitetea ni kipi hasa? Kwahiyo kuwa mwanaume tena uliyeoa ni sifa kufanya uchafu huu na kujirekodi?
Leo hii mkewe na familia yake kiujumla imedhalilika kiasi gani?
Huyo Msando kama mwanasheria anayeheshimika kajivua heshima kiasi gani?
Nachelea kusema kwa kutetea uchafu huu nyinyi ni wanaume wa hovyo kabisa!
Gelofriend hivi maombi kwani lazma yawe mazuri? Ukifunga kumuombea mabaya haifai? 😀Hao wanaume wa kujiombea wako wapi? Kila siku kutakaga tu kuombewa mtcheew
duuhh we mama haya...!!!Not nature, driven by tamaa tu msisingizie nature. Mjitambue na
Simameni katika nafasi zenu muone kama kuna litakaloharibika. Mkidhani mnawakomoa wanawake zififikirieni na vizazi vyenu pia.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mbona kamati ya roho mbaya!Gelofriend hivi maombi kwani lazma yawe mazuri? Ukifunga kumuombea mabaya haifai? 😀
[HASHTAG]#kamatiyarohombaya[/HASHTAG]
[emoji3] [emoji3] [emoji3]duuhh we mama haya...!!!
Naked truthTo be honest wababa wengi ni ile mnajua mtoto amekula, ameenda shule, anavaa vizuri, anatibiwa, the rest ni kazi ya mama yake. Baba muda wote anawaza madeal, mtu hawazi hata kuna family time, mkae mzungumze mcheze, muwafundishe watoto wenu etc. Baba kila siku anarudi watoto wameshalala mmh. Sasa ndo ukute mama naye ana mambo mengi, basi mlezi mkuu anakuwa house gal. Sad
Mtu umeoa lakini still unataka kubehave as a bachelor. Ndo hayo "ooh nikirudi mapema washkaji watanionaje". Ujinga tu na kushikiwa akili, usioe basi uendelee kuwaplease washkaji
Wewe usicheke bana, juzi mtu anaongea wanaume wengi mnajisahau kwenye ndoa zenu, wake zenu wanahitaji sana attention yenu , mtu kajibu "baba ako alikuwa anakupa attention" mweee
umetuchambua kama karanga[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Jana nimemuwakiaaaaa hahahhaaaaaMkuu ze bolidi bi keafuli si unaiona misimamo banda ya mamsapu kwenye sredi
Be warned
Atakua kaishaliwa maskini!Msando ndio ambae ACT wamempa nafasi ya ushauri wa Chama nafasi ya Kitila.. Kama gigi kamfanya hivi, je Wema aliemtetea katika kesi kamfanyaje
Nakushauri uitafute.. Ni nzuri sana kwa wanaume wa aina hii unayosema..Mmh kwa kupenda kuombewa hamjambo. Haya tutawaombea ila nyie jiombeeni pia na epukeni mazingira hatarishi na vishawishi
Ahsante kwa movie, sitotoka kapa
K. Kiatu...Haya mambo hayana baunsa[emoji2] [emoji2] lawyer kalainika. K sio kitu cha mchezo
hehehehehehe kwamba mcheki baba yako akichezea kitu hii.. Daaaahh aiseeNdio ubaya huo, na ukutane na watoto ambao pia maadili yalipita pembeni watambully na hiyo video hadi ajute!!