Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ilepicha wakati wanatomasana iko wapiView attachment 512740
Kazi ipo
Na ndoa ni ya mke(japo kweli tuna nguvu) but sasa ni too much jamani. Basi huyo Mungu haonekani tumeshindwa kumuogopa wala kumuheshimu, basi tu tuzifikirie hizi familia tunazozijenga na kuziona.Si ndo maana Ndoa zimekuwa prayer project, ni kumuombea tu mume, yeye busy anapima oil kwa kina giggy
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hapo gigy kishapata kik ambayo ndio intention yake.
Msando kapata fedheha.
Mke wa msando kapata aibu.
Shilawadu tumepata ubuyu.....
Aaah tunawaumiza sana watoto wetu honestly. ...Na ndoa ni ya mke(japo kweli tuna nguvu) but sasa ni too much jamani. Basi huyo Mungu haonekani tumeshindwa kumuogopa wala kumuheshimu, basi tu tuzifikirie hizi familia tunazozijenga na kuziona.
Duh hv kwenye zile picha jack alikuwepo au? Enzi za ze utamuPlease let Nsia Edmund Swai out of this.
Nsia ni mmachame alijua wazi kbs kwamba hawez kuolewa na mwanaume wa kibosho. wala hata nyumba hawajengi kuelekea kiboosho so alikuwa anapita tu na yy hakumaanisha waoane bhanaa...
ata yale mapicha hakutuma yy.
nikweli lakini kiuhalisia mwanaume amekuwa muamuzi mkubwa sana katika mahusianoHurumia kizazi chote sio cha wanawake tu ndugu. Maana madhara ya haya yanatupata wote japo upande wetu kama umekuwa mwiba mchungu zaidi!!
Kuna maswali mengine najikuta yananijia ila basi tu naogopa kukufuru ngoja tu ninyamaze. Imeandikwa "unabii hauna budi kutimia ila ole wake autimizae unabii"[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]na sabb ipo kwann ilikuwa kubwa sana..........
ni kwasabb tulitengua agizo la Mungu.
Mungu akatuacha tuwalinde wanaume
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tutawapunga mbona
That has came to the public. Its not private no more.This is private life
Nakumbuka TUNDU LISU ALIVYOMTETEA MBOWE KEENYE LILE SWALA LAKE NA JOYCE KWENDA KUTO....mbana dubai wakati shughuli za bunge zikiendeleaHaya Mambo Msando siyo Mwanzilishi
Kama mnajua hilo basi okoeni familia zenu.nikweli lakini kiuhalisia mwanaume amekuwa muamuzi mkubwa sana katika mahusiano
Mtuombee tu.. Wanawake kama nyie ni nguzo muhimu kwenye familia..Kuendekeza tamaa na starehe zisizo na tija. Hayo mambo ni ubatili mtupu
nikweli kabisa sometimes we are driven by nature but that is not an excuse..!!Kama mnajua hilo basi okoeni familia zenu.
Kabisa yani.. Aisee hizi ndizo kati ya hasara chache za social networks. Huwezi kuficha aibu yako milele, yaani hizo videos mpaka wajukuu watakuja kuziona babu yao aliyokuwa anayafanya..Oooooh poor child!!! Unashuhudia mazito ya wazazi wako ktk umri mdogo hivyo ni trauma ya maisha, haitokaa ifutike kichwani mwake.
Mmh kwa kupenda kuombewa hamjambo. Haya tutawaombea ila nyie jiombeeni pia na epukeni mazingira hatarishi na vishawishiMtuombee tu.. Wanawake kama nyie ni nguzo muhimu kwenye familia..
Kuna movie inaitwa "The War Room" ni nzuri sana kwa wanandoa..
Not nature, driven by tamaa tu msisingizie nature. Mjitambue nanikweli kabisa sometimes we are driven by nature but that is not an excuse..!!