Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

Status
Not open for further replies.
Mwenye biography ya huyu giggy money. Where is she coming from, apart from instagram what else is her occupation. Her education vitu kaa hivyo . what kind of air is she breath in?
Gigy mkuu ni mtu wa ajabu ajabu tu , maana kuna siku alihojiwa kuhusu elimu na maisha yake alijubu very polite mpaka machozi kumtoka, anadai mama ake nae alikuwa malaya pia maana kwao kila mtoto na baba ake, amesoma mapka form four tu, baba ake aliikataa mimba yake, mama alitaka kutoa mimba ila aliogopa baada ya siku ya kutaka kuitoa mimba hospital akakutana na marehemu aliefariki kwa utoaji mimba, anadai yeye alizaliwa chooni mama ake alipata uchungu gafla akiwa anajisaidia, anadai alianza kujiuza mapema ili kutoa msaada wa matumizi ya kifamilia, alijiuza kwa mzee tajiri ili aweze kulipa deni la benki mama ake alilokuwa anadaiwa, alienda kukopa mzee akamwambia ampe uchi wamalizane nae akaongeza dau la mkopo lilikuwa dogo ila la kulala na huyo mtu akadai kubwa na likatekelezeka, Gigy ni mtangazaji wa kituo cha radio, Gigy anadai hajui idadi ya wanaume aliolala nao ila andai huwa anasikia raha ya ajabu anavyofanya matusi, huyu ndio Gigy kwa ufupi.
 
Na hata akifukuzwa hatokiiii chezea pesa wewe!! Pesa ni shenzi na nusu. Kapuku unamuacha tu dakika. Teh teh teeeh![emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Haha akufukuze uende wapi sasa, na mjengo umuachie nani?, labda aondoke tu mwenyewe[emoji13] [emoji13]
 
Duh hizi information za jikoni kabisa hizi. Unamaanisha jack alipiga picha za uchi na nsia swai au? Hebu tukumbushie hizo picha tudadavulie
No.. Nsia alikuwa mchumba wa Albaert na walikuwa wanawania ndoa wote yeye na Jack, wakawa maadui ila msando akachomoa kwa Nsia kimyakimya baada ya picha za nsia kuvuja, sasa picha zake ndio zinavuja bampa to bampa.
 
Mkuu sikumaanisha maadili, I meant kwa umri wao na aina ya maisha wanayoishi ni vigumu kumkuta akifatilia udaku.. Ila nimemuelewa gfsonwin mtoto anaweza akawa yuko huko instagram kwa mambo mengine ila accidentally akakutana na hizo videos na hapo ndio picha linapoharibika..
Hawa watoto wetu wa siku hizi wanavyopenda ubuyu, hakuna wa ushuani wala wa tandale. Watakutana nazo tu kwa watu waliowafollow, hakuna usalama tena.
 
To be honest wababa wengi ni ile mnajua mtoto amekula, ameenda shule, anavaa vizuri, anatibiwa, the rest ni kazi ya mama yake. Baba muda wote anawaza madeal, mtu hawazi hata kuna family time, mkae mzungumze mcheze, muwafundishe watoto wenu etc. Baba kila siku anarudi watoto wameshalala mmh. Sasa ndo ukute mama naye ana mambo mengi, basi mlezi mkuu anakuwa house gal. Sad
Mtu umeoa lakini still unataka kubehave as a bachelor. Ndo hayo "ooh nikirudi mapema washkaji watanionaje". Ujinga tu na kushikiwa akili, usioe basi uendelee kuwaplease washkaji

Wewe usicheke bana, juzi mtu anaongea wanaume wengi mnajisahau kwenye ndoa zenu, wake zenu wanahitaji sana attention yenu , mtu kajibu "baba ako alikuwa anakupa attention" mweee
hehehehehehe hilo jibu si zuri hata kidogo ila linachekesha sana.. Wanaume walevi wana majibu kweli kweli.. Kuna siku nilikuwa napata pombe na rafiki zangu waliooa nikawa sasa nawahoji hivi mnarudije nyumbani kila siku chakali tena usiku mnene na weku zenu wakawaelewa, jamaa wakanijibu "yaani ile unaingia nyumbani tu unapitiliza chumbani na kuanza kumgomea mkeo out of nowhere, mara chakula, mara mbona garden naona inakufa hapo mke wala hapati tena muda wa kuuliza ulikuwa wapi" daaah nilibaki nacheka tu..
 
Vipi kuhusu msando? Ye hatakiwi kutubu na kusali?
Betho sio kwamba hatakiwi kusali hapana......
ila apo ni lazima mkewe aanze kama akipata iyo neema hii ni kwasabb maandiko yako wazi hayadanganyi kwamba

mwanamke atamlinda mwanaume.

tena sasa Jack atubu kwaajili yake kisha kwaajili ya mumewe afu aanze kulipa madeni katika ulimwengu wa roho. asitake eti kujimwambafai atachemka. mpaka mumewe amuone Mungu kwake aambatane nae aseme hakika nimemuona Mungu kwake.
mambo ya kiroho ni magumu sana ila ni kwa Neema tu tunapata kuyajua
 
Bar kila siku hiyo ni extremely too much, alafu basi angalau uwe unapita ila saa mbili uko nyumbani. Wengine wao ni mpaka saa 5 ndio anashawishika kurudi na ukute ashakula mbuzi wake huko anakuja kukuta sijui wali maharage ndio wala hagusi hiyo na chai asubuhi hanywi anakimbilia supu bar ndio aingie kazini.. Aisee haya maisha hapana, hata kama nyumbani ni kituo cha polisi si hivi.. Alafu wanaofanya hayo ina maana hata watoto wao hawawapendi na kuwapa muda? Litoto likifeli shule anaambiwa mama wewe unamdekeza dekeza.. Mtu unaogopa kuwa a family man sababu eti washkaji watakucheka na kuona umekamatika..

Daaah ila hapo kwenye red umenifanya nicheke sana.. Eti acha kuangalia movie za kifilipino 😀😀😀😀😀
Mtoto akifeli ataambiwa mjinga kama mama yake, mtoto mpumbavu si ni mzigo wa *****!!

Jitahidini tu kutetea michepuko na maujinga mkidhani kuna mtu mnamkomoa zaidi ya familia zenu, yakija kuwekwa wazi hivi ndio aibu hadi kwa mke na watu wanaanza kufukua hadi yaliyokufa, mitandao siku hizi haina jema.
Mtoto anapita anajisomea kila kitu kuhusu wazazi wake. Then kesho na keshokutwa utamzuia nini akuelewe kwa mfano!! Anafuata tu nyayo labda neema ya Mungu ipite.
 
Ndio haya sasa ya kuaibishana acha waone haya tu maana wanayataka wenyewe wanawaumiza vijana innocent wenye mapenzi ya kweli kisa hawana pesa wanakimbilia pesa ndio haya sasa.
Kuolewa ni bahati jamani, sasa wote mkitukimbia sisi wenye fedha tutamuoa nani![emoji12]
 
hehehehehehe hilo jibu si zuri hata kidogo ila linachekesha sana.. Wanaume walevi wana majibu kweli kweli.. Kuna siku nilikuwa napata pombe na rafiki zangu waliooa nikawa sasa nawahoji hivi mnarudije nyumbani kila siku chakali tena usiku mnene na weku zenu wakawaelewa, jamaa wakanijibu "yaani ile unaingia nyumbani tu unapitiliza chumbani na kuanza kumgomea mkeo out of nowhere, mara chakula, mara mbona garden naona inakufa hapo mke wala hapati tena muda wa kuuliza ulikuwa wapi" daaah nilibaki nacheka tu..

Haha ndo ndoa zetu hizo. Afu ukute mke usingizi hauji kwa hofu maskini hadi mume arudi.
Sasa you can imagine baba wa hivi anaspend time na watoto wake saa ngapi. Aisee bond ya mtoto na baba haijengwi kwa kumlipia school fees.
 
Duh hizi information za jikoni kabisa hizi. Unamaanisha jack alipiga picha za uchi na nsia swai au? Hebu tukumbushie hizo picha tudadavulie
Please let Nsia Edmund Swai out of this.
Nsia ni mmachame alijua wazi kbs kwamba hawez kuolewa na mwanaume wa kibosho. wala hata nyumba hawajengi kuelekea kiboosho so alikuwa anapita tu na yy hakumaanisha waoane bhanaa...
ata yale mapicha hakutuma yy.
 
Tusikurupuke kumshambulia Alberto. Kwa maelezo ya Gigy kwenye hiyo screenshot yanaonesha ni jinsi gani Gigy alivyo KIAZI na MBURULA.
SHENZAOOO
 
Huyu jamaa kazoea haya mambo, yaani pesa ilimpa ujuha akaona kufunua sketi ni akili, mkewe ana kazi ya ziada, ila mimi naona kwa mabinti ambao bado hawajaolewa kujifunza, ukiona mpo wengi kila siku unaambiwa sorry baby, achana na huyo jamaa maana atakuumiza milele 'chizi hua haponi kabisa, halafu wanawake ni wepesi sana kudanganywa kuna video ilikuwa inasambaa whatassp jamaa anafumua marinda binti akaanza kulia baby hunipendi hunipendi, usinifanye huko jamaa likasema BABY NAKUPENDA SANA, kusikia hivyo binti kalegea akawa anamsaidia jamaa kubinua tako na kulia naumia, huku rinda linachnwa, yaani mapenzi haya sijui tu wanwake why yanatuumiza hivi.
nadhani wanawake mnalakujifunza zaidi katika mapenzi kushinda mapenzi yenyewe nawaone huruma sana dada zangu wakipindi hiki cha digital yaani for your stronger hearts mmekuwa mkiangua chini ya bazazi na wanaume wanyama but wengi wakiamua kuongea na mioyo yao kwa ukaribu hutakuja kuona msichana mrembo akitumika hovyo katika mapenzi
 
Hawa watoto wetu wa siku hizi wanavyopenda ubuyu, hakuna wa ushuali wala wa tandale. Watakutana nazo tu kwa watu waliowafollow, hakuna usalama tena.
Daaaah alafu ndio unamwona baba anachezea chezea hiyo nanii ya shangingi.. Sijui utamtia ushajaa dingi au utamtoa akili..
 
Wewe usicheke bana, juzi mtu anaongea wanaume wengi mnajisahau kwenye ndoa zenu, wake zenu wanahitaji sana attention yenu , mtu kajibu "baba ako alikuwa anakupa attention" mweee

Sasa unafikiri mtoto wa msando akiyashuhudia haya atatoa majibu ya aina gani suala kama hilo likija? Malezi tuwapayo watoto wetu leo ndio yanadetermine aina ya wazazi watakaokuwa kesho. Basi ulipitia malezi ya hovyo hovyo omba neema ya Mungu ikusaidie katika kuyaishi maisha yako na kujenga maisha bora ya familia yako.
 
Sasa unafikiri mtoto wa msando akiyashuhudia haya atatoa majibu ya aina gani suala kama hilo likija? Malezi tuwapayo watoto wetu leo ndio yanadetermine aina ya wazazi watakaokuwa kesho. Basi ulipitia malezi ya hovyo hovyo omba neema ya Mungu ikusaidie katika kuyaishi maisha yako na kujenga maisha bora ya familia yako.
Hao wanaume wa kujiombea wako wapi? Kila siku kutakaga tu kuombewa mtcheew
 
Mtoto akifeli ataambiwa mjinga kama mama yake, mtoto mpumbavu si ni mzigo wa *****!!

Jitahidini tu kutetea michepuko na maujinga mkidhani kuna mtu mnamkomoa zaidi ya familia zenu, yakija kuwekwa wazi hivi ndio aibu hadi kwa mke na watu wanaanza kufukua hadi yaliyokufa, mitandao siku hizi haina jema.
Mtoto anapita anajisomea kila kitu kuhusu wazazi wake. Then kesho na keshokutwa utamzuia nini akuelewe kwa mfano!! Anafuata tu nyayo labda neema ya Mungu ipite.
Aiseee alafu nasikia huko comment ni mbaya kinoma.. Sasa ukute mtoto ndio anazisoma na kuyajua afanyayo babake, aibu si aibu laana si laana..
 
Gigy mkuu ni mtu wa ajabu ajabu tu , maana kuna siku alihojiwa kuhusu elimu na maisha yake alijubu very polite mpaka machozi kumtoka, anadai mama ake nae alikuwa malaya pia maana kwao kila mtoto na baba ake, amesoma mapka form four tu, baba ake aliikataa mimba yake, mama alitaka kutoa mimba ila aliogopa baada ya siku ya kutaka kuitoa mimba hospital akakutana na marehemu aliefariki kwa utoaji mimba, anadai yeye alizaliwa chooni mama ake alipata uchungu gafla akiwa anajisaidia, anadai alianza kujiuza mapema ili kutoa msaada wa matumizi ya kifamilia, alijiuza kwa mzee tajiri ili aweze kulipa deni la benki mama ake alilokuwa anadaiwa, alienda kukopa mzee akamwambia ampe uchi wamalizane nae akaongeza dau la mkopo lilikuwa dogo ila la kulala na huyo mtu akadai kubwa na likatekelezeka, Gigy ni mtangazaji wa kituo cha radio, Gigy anadai hajui idadi ya wanaume aliolala nao ila andai huwa anasikia raha ya ajabu anavyofanya matusi, huyu ndio Gigy kwa ufupi.
Toooooba!!! Kumbe hata tusimlaumu jamani. Hadi huruma imeniingia ghafla.
 
Daàh WaTZ kama kawaida tunamtafutia jina baya mbwa ili apigwe na kila MTU.


Heshima kwenu.
 
Mdau uliyetoa bio ya giggy umetisha. Ni hali yetu ya maisha imepeleka yeye kujikuta kwenye lifestyle hiyo. Akijeleza anadai alikuwa anamfuata lily mawala (Is she another pimp in TZ) ndio amkonect na msando

Lots of wingman and wingwomen nowdays . udalali mpaka kwenye papuchi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom