Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

Status
Not open for further replies.
2b87e5f7c7eb885353ce7a7d7519c2bb.jpg
msamaha. Com.
Hana hata wasiwasi
ni sawa kweli sote tu binadamu na huwa tunakosea.
ila je msamaha huu unaoomba unaomba ili tu isemekane kwamba umeomba ama unamaanisha?
kwa mashabiki zao/followers kwenye page yako sidhan kama hata wana sabb ya kuombwa msamaha.
msamaha kamuombe kwanza Jack tena kwa kumaanisha, kisha umuombe na kido wako hao umewakosea sana na ndio watu wa inner circle yako. sisi wengine ni marafiki lkn we dont care what you do thats your life. ila kuna unaoshea maisha hao kawaangukie sana sana.

umewaumiza sana, hata uandikeje maumivu yake hayabebeki. nimewaza kama mke (not to u) na kama mtoto wako ambavyo anawaza sasa hivi.

jambo jingine hebu kaa na that lito boy try to learn kama kawa bullied kwa sabb ya hii video knowing mashulen yanayotokea ni zaidi ya mnavyofikir. usidharau hili. na ikiwa ndio try to make it right on spot. asiendelee kuumia zaidi.

gheeeee nimekujibu utafkir naongea na Betho mweeeh!!
 
very wise question my dear!
let me tell you, men they don't have an extra eye to see where women can see.
ukitaka Msando aanze kuwa prayer worrier kwa familia utakuwa unasahau jambo moja ambalo Mungu alilisema kupitia kinywa cha nabii Yeremia.

nanukuu '' nimeweka jambo jipya katika dunia kwamba mwanamke atamlinda mwanamume''

hapa inamaanisha kwamba mama anatakiwa aanze kuonyesha jitihada tena awe mpole na anyenyekee sana. manake Mungu hutizama kile unachotakiwa kukifanya na si kile ulichotaka kufanyiwa. akaiwa anafanya haya mumewe ataona Mungu kupitia mkewe na ataambatana nae.

makuzi ya watoto yako ivi, ukiwalea watoto toka udogoni kwamba kusali ni jkumu letu, na hofu ya Mungu ikajaa mioyoni mwao watoto hawa wakakua katika misingi iyo iyo na ukawanyima kabisa nafasi ya kuharinu imani yao, hata wakiwa ni wa kiume watasimama kuombea familia zao. ikiwa mtoto hajakuzwa ivyo usitegemee atajianzia tuu. kuna gharama za kulipa tena nyingi sana.

hujalijua hili, kilamwanamke ambaye Betho aliwahi kumuumiza moyo kwa namna yyte, ni mdai wa Betho katika ulimwengu wa roho. namaanisha hivi Betho anadaiwa madeni katika ulimwengu wa roho na wanawake wote aliowah kuwaumiza. jambo hili litamfuatilia Betho na hata watoto wake. Jack hakuliona hili (simlaumu) ila kama akiamua kurudi kwenye toba basi pia akumbuke kuomba Damu ya YESU IKAMLIPIE MADENI ANAYODAIWA BETHO NA WANAWAKE WOTE: akifanya hivo ataona jinsi ambavyo izo tabia zinamuachia na atafurahia ndoa yake zaidi ya hapo.
WOW... Mumeo ni kati ya wanaume wenye bahati sana maishani..
 
Wanawake mnaochangia hapa mmekosa kufahamu kwamba

Trump alichomeka vidole hadharani lakini hii haimfanyi asiwe baba,raisi bora
Pokello nare ana sex tape lakini kaolewa na katulia.
Desire luzinda ana sex tape lakini katulia.
Zari wifi wenu wa taifa ana sex tape lakini katulia kwa chibude
Mapenzi tumeumbiwa binadamu hatuwezi kukwepa wewe kama ina mume wako hatembei nje basi mchunguze vizuri.

Giggy money yeye ni stuner,working girl anaetaka kiki muda wote na hiyo ni marketing merchandising kubwa kwake ukitazama hiyo video ilipokuwa inachukuliwa giggy alikuwa bado hajalewa anaomba redbull amix na hennessy. All in all we can run away from nature(Sex)
Sahihisho; Trump hakufanya kitu bali alitoa maneno ambayo hayakuwa na staha, he did nothing wrong but those were just words buddy labda Clinton huyo ndio alimaliza game kabisa
 
Kuna video went viral online trump yuko na street dancers anawatia vidole huku wamesimama
 
ni sawa kweli sote tu binadamu na huwa tunakosea.
ila je msamaha huu unaoomba unaomba ili tu isemekane kwamba umeomba ama unamaanisha?
kwa mashabiki zao/followers kwenye page yako sidhan kama hata wana sabb ya kuombwa msamaha.
msamaha kamuombe kwanza Jack tena kwa kumaanisha, kisha umuombe na kido wako hao umewakosea sana na ndio watu wa inner circle yako. sisi wengine ni marafiki lkn we dont care what you do thats your life. ila kuna unaoshea maisha hao kawaangukie sana sana.

umewaumiza sana, hata uandikeje maumivu yake hayabebeki. nimewaza kama mke (not to u) na kama mtoto wako ambavyo anawaza sasa hivi.

jambo jingine hebu kaa na that lito boy try to learn kama kawa bullied kwa sabb ya hii video knowing mashulen yanayotokea ni zaidi ya mnavyofikir. usidharau hili. na ikiwa ndio try to make it right on spot. asiendelee kuumia zaidi.

gheeeee nimekujibu utafkir naongea na Betho mweeeh!!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23] mimejikuta yananiingia utafikiri ndo mimi alibert
 
dah!!
very touching............but at least he has to do something, na ikiwa anataka kujua kama mwanae kaapata bullies zozote kupitia iyo video atajua.

unajua nani atakae mlikishia mwanae?? wale maadui wake katika kazi na siasa. wanaweza wakamfanyia huo mchezo. ila akitaka kujua akimuuliza mwanae kwa upole atamwambia na akishapata jibu kwamba anajua basi ajifunge bomu amwombe msamaha kwa namna ya kiutu uzima. kisha arudishe upendo kwa mtoto per see
Likely tayari Gigy atakuwa kaanza kufuatwa na wanasheria maadui wa Msando wakimtaka a file case.. Si kitu cha kushangaza.. Ni wakati huu Msando anatakiwa kuwa karibu zaidi na familia yake ili hata hayo yakitokea familia iwe nae bega kwa bega..
 
hehehehehe niliona post yako ukitulaumu na dili za bar... Ila kiukweli mwanaume asikudanganye kila siku yupo bar alafu anakwambia eti ndio napata dili huko.. Lakini ndio hivyo wenyewe mnajisemea kama ulivyosema "afanye tu ila mi nisijue, aneheshimu tu".. Naamini hata Msando anamuheshimu mke wake, ila hii ni ajali tu

Ujue hamjui tu wababa mna nafasi gani katika malezi ya watoto wenu. Nyie mnajuaga tu kuprovide basi. Huo muda wa bar mngekuwa mnatulia home mnawasaidia watoto wenu homework, mnakula wote, mnaomba nao, then wanaenda kulala mapema, daah sijui tungekuwa na generation ya aina gani hapo baadaye. Ila ukisema tu utaambiwa "uache kuangalia movie za kifilipino" au "baba ako alikuwa anakufanyia hivyo". Mtu kila siku bar, narefresh mind sijui utadhani wake zenu wao mind zao zimekufa, bado watu hao hao unaoshinda nao bar ndo mna group wasap, Abeg ni madili gani hayo mnayopeana kila siku? Upite bar ukute meza ya wanaume bila kamchepuko hata kamoja mmmmh

Wee wanawake tumejikatia tamaa na hizi ndoa, basi tu ndo tangu tumboni tuliambiwa kuolewa ni heshima, tutafanyaje sasa. Ukikuta mke wa ndoa anaongea kwa maumivu huyo unajisemea tu "Yehova". Hizo heshima za design zenu me zinishindwe kabisa IJN
 
Couldn't agree more.
Laiti tungekuwa tumewalea watoto wetu kwenye misingi ya hofu ya Mungu, leo hii tungekuwa tunashuhudia ndoa za design nyingine kabisa, amazing mnoo. Ndo ujiulize ni wababa wangapi huwa wanasali na watoto wao, kama sio muda huo huwa wapo busy bar wanapeana michongo.

Kwa sababu tumekengeuka, basi kila mtu anabeba garbages zake zote za past na tunazileta ndoani, at least basi tungedeal nazo kabla ya kusettle down. Tumejijengea madhabahu kibao ndo kila siku zinatufuatilia. Mpo kwenye ndoa lakini hampigi hatua kwa sababu kila siku mnadeal na garbages zenu za past. Hapo ni kwa unayejua past za betho, but Naamini jack naye ana garbages zake wameziunganisha. Mungu atupe neema ya kudea na hili. It's too much
iko hivi, hakuna aliye malaika hata Jack sio malaika.
ila sasa akitaka kuondoa hili jinamizi kwenye ndoa yake lazima Jack arudi magotini tuu hana jinsi.

may be wengi wetu hatukupata makauzi ya hofu ya Mungu, na hii ndio sabb leo hii ndoa nyingi zinapita pagumu. je huni kwamba tuinayo kila sababu ya kurekebisha ndoa zetu leo ili kuruhusu watoto wetu walelewe kwenye misingi ya hofu ya Mungu. na wao waje kuwa na maisha bora zaidi ya tuliyo nayo?

Jack anatakiwa awe chumvi sasa ili kuleta ladha manake akiharibika yy sijui iyo ndoa itatiwa nini tena
 
Mungu pekee ndio atamjudge. Kakosa kadogo sana hako...tatizo ni vile imeleak!
.
.
Wangapi hapa mnaheshimika majumbani kwenu na makazini kwenu lakini ndani ya mioyo yenu mmejaa midhambi kuliko ya huyo alberto?
.
.
Kosa moja lisifunike mazuri yake mengine. Kumpapasa giggy kuna madhara gani kwa taifa? Atajibu kwa mkewe.
Giggy ni malaya kama malaya wengine. Na alberto ni mteja kama wateja wengine (wengi tu wapo humu), hata waheshimiwa ndio zao hizo. So stop judging..tuumize kichwa kufufua Tanzania ya viwanda!
 
iko hivi, hakuna aliye malaika hata Jack sio malaika.
ila sasa akitaka kuondoa hili jinamizi kwenye ndoa yake lazima Jack arudi magotini tuu hana jinsi.

may be wengi wetu hatukupata makauzi ya hofu ya Mungu, na hii ndio sabb leo hii ndoa nyingi zinapita pagumu. je huni kwamba tuinayo kila sababu ya kurekebisha ndoa zetu leo ili kuruhusu watoto wetu walelewe kwenye misingi ya hofu ya Mungu. na wao waje kuwa na maisha bora zaidi ya tuliyo nayo?

Jack anatakiwa awe chumvi sasa ili kuleta ladha manake akiharibika yy sijui iyo ndoa itatiwa nini tena
I agreed with you kuhusu Jack, that's the only option so far. Ila nilitaka tufike hapa pa kuona kumbe tunatakiwa tufanye kitu juu ya malezi ya watoto wetu. Watoto wanavyoviona kwetu sisi wazazi wao ndo mara nyingi wanaamini ni sahihi. Kwa hiyo ni lazima turekebishe misingi yetu, japo sio guarantee kuwa watoto watakuwa exactly kama tulivyowalea, maana haya maisha mi kwa neema ya Mungu tu. But still Naamini "mlee mtoto katika njia impasayo naye hataiacha hata atakapokuwa mzee". Sisi ndo tuwe mfano bora kwa wanetu
 
iko hivi, hakuna aliye malaika hata Jack sio malaika.
ila sasa akitaka kuondoa hili jinamizi kwenye ndoa yake lazima Jack arudi magotini tuu hana jinsi.

may be wengi wetu hatukupata makauzi ya hofu ya Mungu, na hii ndio sabb leo hii ndoa nyingi zinapita pagumu. je huni kwamba tuinayo kila sababu ya kurekebisha ndoa zetu leo ili kuruhusu watoto wetu walelewe kwenye misingi ya hofu ya Mungu. na wao waje kuwa na maisha bora zaidi ya tuliyo nayo?

Jack anatakiwa awe chumvi sasa ili kuleta ladha manake akiharibika yy sijui iyo ndoa itatiwa nini tena
Japo Jack sio Malaika lakini sio mchafu kama wakili msomi full stop
 
Likely tayari Gigy atakuwa kaanza kufuatwa na wanasheria maadui wa Msando wakimtaka a file case.. Si kitu cha kushangaza.. Ni wakati huu Msando anatakiwa kuwa karibu zaidi na familia yake ili hata hayo yakitokea familia iwe nae bega kwa bega..
yaani umewaza exactly kama nilivyokuwa nawaza. ila namuomba sana Jack japo linauma asijikute anapata waalimu wa mtaani wa kumtoa kwenye pendo la familia yake.

najua wapo tena ambao wanataka kuona anamalizika kisiasa, kisheria na kila kitu.............
 
sijasema eti apalanganyishe familia.
nimesema pole manake wanaume wanataka kujustfy makosa yao kwa vitu vya kijinga.

kuna post nimemwambia mkewe chakufanya
ndio mumewe kaharibu but afanyeje zaidi ya kuombea neema ya wokovu familia yake?
wanaodhalilika zaidi ni mtoto ambaye akienda shule atachekwa, akienda kucheza atachekwa kila mahali kwake ni tabu.
muda mwingine siye wazazi tunakuwaga selfish sana, sasa inabidi uwe na neema tu ya Mungu kujua hapa nimefika pabaya ama laa. na ukishajua urudi utubu.
You nailed it madam.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom