kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
Yaani huyo demu mpuuz sana tatizo anapenda sana kiki . japo Albert naye kakosea kukubal kurecodiwa vile . mengine ni familia. Na marafik zake kuchukulia na kusamehee tuGigi Money anasema alikuwa hamjui Albert Msando wala alikuwa hajawahi kumsikia, aliambiwa kuna mtu anakuhitaji anamiliki club basi akaenda akaspend nae time na walipokuwa garini akarekodi video kutupia kama anavyotupiaga picha za wengine anaotoka nao,kesho yake akaona video imekua gumzo
Umenikumbusha zito kabwe na ishu ya diva yule mtangazaji wa clouds naye hiv hiv japo ishu yake ilizimwa kwa msaada wa kina ruge ila naye angedhalilishwaZitto, msando, mbowe wanawala malaya sijawahi kuona
Daah nn mamaDaaah
Kwani lawyer sio mtuHata kama ni staa kiasi gani, Umalaya unafedhehesha na kushusha heshima. I person worth of being a lawyer, also known as an officer to the judiciary, ameikosea sana tasnia yake, familia yake, ndugu zake na Mungu aliyemuweka kwenye kazi hiyo. Hafai
Kwel kabisa mamyKiukweli huyu mdd hua simuelewagi kbs yanikila raia yeye hamtambui.?
Halafu na hawa wanaume zetu jamani sijui nini shida Albert na gigy wapi na wapi.? Dah pole sn msando na familia yake
Gigi Money anasema alikuwa hamjui Albert Msando wala alikuwa hajawahi kumsikia, aliambiwa kuna mtu anakuhitaji anamiliki club basi akaenda akaspend nae time na walipokuwa garini akarekodi video kutupia kama anavyotupiaga picha za wengine anaotoka nao,kesho yake akaona video imekua gumzo
HIYO ZE DON IKO MAENEO GANIKwa jinsi ninavyomuelewa wakili Msando sidhani kama gigi hajachukua money kwake, jamaa ni shida kwa papuchi, sijui ni ulimbukeni wa ukubwani au nini!!!!!!!!!!! Tunaokwenda the don kila weekend tunamuelewa na tunamuonaga sanaaa.....
Mapenzi ni upofu. Pole kwake Albert MsandoMsando kajiharibia public image kwa kweli, Nasikia ana mke na watoto, Sijui wife anajiskiaje anapoona hii video ama anapochekwa na wenzie mmewe kachepuka na huyu mcheza xxx
Huwezijua tunaweza kumlaumu sana Msando kumbe huyo wife wake anampa stress mpaka anawatafuta kina gig money wamliwaze, si unajua tens ss wanaume!Ana mkee mzuuuuriiiii....ingia page ya msando insta....kajidhalilisha
Anataman kufanya kam wew unavyohs ungefany bt ther is a lot of things behind vinafany akae kimy even still be with himHuyu Msando si kaoa jamani? Uchafu gani huu?
Kiukweli hapa tu ndipo huwa nshindwa kuwaelewa wanawake wenzangu. Mwanaume pamoja na uchafu huu bado atakuwa proud nae! Dah
Acha kumsingizia mtume ujingahivi wapi alionekana akila tunda?yule kapapasa tu hiyo inaruhusiwa hata na mtume
Watuu wanasaliti kilaa siku.. Ilaa Kuwa na Privacy..!! Kwa heshima ya Albert hakutakiwa kufanya vile..Nani hakuwahi kusaliti uhusiano aliokuwa nao? Au alionao? Acha kujifanya watakatifu
Alipapasa tu...????? Achaa utani wew.hivi wapi alionekana akila tunda?yule kapapasa tu hiyo inaruhusiwa hata na mtume