Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na amejitakia mwenyewe..kujifananisha maisha yake na kina diamond...full umaarufu wa mitandaoni .kuhang na wasaniii ...anasa anasa tuCredibility ya huyu jamaa inaporomoka kwa kasi sio lawyer tena ni celebrity
So huyo gigy ni matope
Ms Lincolin Mpe hai Mr. Abraham Lincolin mwambie mkulu kasahau kabisa 'Government of the people by the people for the people'
Wanawake mnaochangia hapa mmekosa kufahamu kwamba
Trump alichomeka vidole hadharani akini hii haimfanyi asiwe baba,raisi bora
Pokello nare ana sex tape lakini kaolewa na katulia.
Desire luzinda ana sex tape lakini katulia.
Zari wifi wenu wa taifa ana sex tape lakini katulia kwa chibude
Mapenzi tumeumbiwa binadamu hatuwezi kukwepa wewe kama ina mume wako hatembei nje basi mchunguze vizuri.
Giggy money yeye ni stuner,working girl anaetaka kiki muda wote na hiyo ni marketing merchandising kubwa kwake ukitazama hiyo video ilipokuwa inachukuliwa giggy alikuwa bado hajalewa anaomba redbull amix na hennessy. All in all we can run away from nature(Sex)
Me naona hayupo serious maana bado anaweka hashtag ambazo anaonekana kabisa anafanya mzahani sawa kweli sote tu binadamu na huwa tunakosea.
ila je msamaha huu unaoomba unaomba ili tu isemekane kwamba umeomba ama unamaanisha?
kwa mashabiki zao/followers kwenye page yako sidhan kama hata wana sabb ya kuombwa msamaha.
msamaha kamuombe kwanza Jack tena kwa kumaanisha, kisha umuombe na kido wako hao umewakosea sana na ndio watu wa inner circle yako. sisi wengine ni marafiki lkn we dont care what you do thats your life. ila kuna unaoshea maisha hao kawaangukie sana sana.
umewaumiza sana, hata uandikeje maumivu yake hayabebeki. nimewaza kama mke (not to u) na kama mtoto wako ambavyo anawaza sasa hivi.
jambo jingine hebu kaa na that lito boy try to learn kama kawa bullied kwa sabb ya hii video knowing mashulen yanayotokea ni zaidi ya mnavyofikir. usidharau hili. na ikiwa ndio try to make it right on spot. asiendelee kuumia zaidi.
gheeeee nimekujibu utafkir naongea na Betho mweeeh!!
wala sitikisi kwan huyo aliye nae hajui kwamba kabla yake huyu alikuwa na boyfriend?
anajua kwamba alikuwa nae na izo ni past wameoana wanaish kwa amani na furaha tele na hivi wamebarikiwa usipime.
Mungu ni wa neema sana alimwona Tina akamvuta toka kwenye hili
Itapita tu tena easy sana baada ya kukiri kosa na kuomba msamaha.Msando kajiharibia public image kwa kweli, Nasikia ana mke na watoto, Sijui wife anajiskiaje anapoona hii video ama anapochekwa na wenzie mmewe kachepuka na huyu mcheza xxx
Pretty woman. Albert why doing such a bitch habit?![]()
Mama msando mwenyewe huyu hapa
Wapi na wapi? Wanaume unawajua unawasikia?Kiukweli huyu mdd hua simuelewagi kbs yanikila raia yeye hamtambui.?
Halafu na hawa wanaume zetu jamani sijui nini shida Albert na gigy wapi na wapi.? Dah pole sn msando na familia yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wapi na wapi? Wanaume unawajua unawasikia?
Ukiona mko na Jamaa yako, mkaangalia picha ya gigy na mitego yake alafu akasema, hili lidada nalichukia...kaa ukijua moyoni kwani ni opposite kabisa.
Ni mzuri yule mke wake?mbona ana kichwa kama tofali? Ama mzuri zaidi yako,?Ana mkee mzuuuuriiiii....ingia page ya msando insta....kajidhalilisha
Uyuu jamaa limbukeni sana. Yani yuko desperate sanaAnalala [HASHTAG]#theDon[/HASHTAG] since the hii issue ikivyotokea. Shame on him, ulimbukeni wa ukubwani nao ni shida kama shida zingine kubwa!