Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

Status
Not open for further replies.
Msando kajiharibia public image kwa kweli, Nasikia ana mke na watoto, Sijui wife anajiskiaje anapoona hii video ama anapochekwa na wenzie mmewe kachepuka na huyu mcheza xxx
 
Msando kajiharibia public image kwa kweli, Nasikia ana mke na watoto, Sijui wife anajiskiaje anapoona hii video ama anapochekwa na wenzie mmewe kachepuka na huyu mcheza xxx
Analala [HASHTAG]#theDon[/HASHTAG] since the hii issue ikivyotokea. Shame on him, ulimbukeni wa ukubwani nao ni shida kama shida zingine kubwa!
 
Duh yaani kweny hii kiki huyu sijui gg ndo kafaidika ......[HASHTAG]#usiombwekukutwa[/HASHTAG]
 
Kiukweli huyu mdd hua simuelewagi kbs yanikila raia yeye hamtambui.?
Halafu na hawa wanaume zetu jamani sijui nini shida Albert na gigy wapi na wapi.? Dah pole sn msando na familia yake
Mwanaume hachagui K. Tena ogopa sana mwanaume amponde demu!
.
.
Kumbe anamtamani na atafanya juu chini amgonge!
 
Kwa jinsi ninavyomuelewa wakili Msando sidhani kama gigi hajachukua money kwake, jamaa ni shida kwa papuchi, sijui ni ulimbukeni wa ukubwani au nini!!!!!!!!!!! Tunaokwenda the don kila weekend tunamuelewa na tunamuonaga sanaaa.....
 
Ukimsikiliza Giggy unaona kabisa ni mwongo,Ila kama walijilia vyao kimpango wao.
Wanaume ndiyo wawe wanajua sio kila mtu ni wa kumchepukia...
Ukicheza na matope lazima uchafuke.

So huyo gigy ni matope
Ms Lincolin Mpe hai Mr. Abraham Lincolin mwambie mkulu kasahau kabisa 'Government of the people by the people for the people'
 
Mbona anasauti mbaya... Huenda anatumia pombe kali.... Duuh huyu kicheche la hatari..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom