Siyo vitz ni power-tiller ileMke mzuri, smart, fresh kama hajazaa
Angekua kajichokea ungesikia "wanawake mnajisahau ndo maana wanaume wanacheat" 😀
Msando kaamua ashuke kwenye range akapande vits
Video ipo humu JFMwenye link ya iyo video naiomba
Ukiliamsha dude yaani hamna namna hata chizi analiwa tu jamani!! Uwii wanaume mtuhurumie mkifanya fanyeni gizani tusijue tu kama hivi inaumaaaa sanaaa!!!Charity elezea kwa undani Hahahaha!jamaa asamehewe tu hamna namna!
Cuzo ninayo unaitaka[emoji85]Ambao hamjaiona video nendeni kwa shilolekiuno_official (shishi boy)
Mimi nimeionea huko.
Mange kaiweka na kuifuta ndani ya sekunde, sijui Msando kampandia hewani? [emoji23][emoji23][emoji23]
HeheheheHa ha ha ha niliwahi kusoma mahali kwamba "ukiona unawekwa profile picture usifurahie kuwa unapendwa, unatambulishwa kwa wenzio" lol
Hiyo maisha club ya DOM Mbona mwonekano wake wa nje mbona huwa naona kama hauhamasishi kabisaMnamshangaa msando, siku ukibahatika Kuingia 84 au Maisha club Dodoma mbona utabaki mdomo wazi, Kuna waheshimiwa wanajua kubambia na kubahishia, utazani beberu.
Huwezi kuona cha ajabu kama unayaishi.mi sijaona jambo la ajabu hapo kwakweli
@carrymastoryHiyo video ipo wapi?nami nikaione
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mnamshangaa msando, siku ukibahatika Kuingia 84 au Maisha club Dodoma mbona utabaki mdomo wazi, Kuna waheshimiwa wanajua kubambia na kubahishia, utazani beberu.
Yani umekasirika gigy money kupapaswa?Acha tu cuzoo! Nimekasirika utadhani Mimi ndio nimefanyiwa hivyo.
Mke wake ni strong sana! Ni malikia wa nguvuUkiliamsha dude yaani hamna namna hata chizi analiwa tu jamani!! Uwii wanaume mtuhurumie mkifanya fanyeni gizani tusijue tu kama hivi inaumaaaa sanaaa!!!
Kama Alichokifanya Msando na Gigy ndio wema wenyewe kwa mkewe basi wanaume mama msando kapata hasaraAh wap. Wanaume ni watu wema sana!