Gigy Money anatoka na Matonya

Bilionea Asigwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
16,515
Reaction score
28,506


Kutokana na fununu zilizozagaa kuwa kwa sasa Gigy Money anatoka kimapenzi na msanii Matonya ambaye ana mke Gigy amefunguka kuwa kwa sasa anatoka na Matonya pia na sio big deal, japo ana mke

“Yeah ni kweli mimi Matonya kama unayoona kwangu mimi ni zaidi ya mpenzi, hayo mambo ya yeye na mkewe mimi hayanihusu, muulize mwenyewe,” Gigy ameiambia Bongo 5



Akizungumza na eNewz Matonya hakutaka kufunguka wazi kuwa ameshaonja supu ya Gigy,na huku Gigy akisema wazi kuwa mpaka sasa msanii huyo kashakunywa kabisa supu yake ingawa inafahamika ana mkewe wake wa ndoa.

“Salamu kwa mkewe sasa Matonya kwangu ni zaidi ya mpenzi akiwa kwake nafasi ni yake na akiwa kwangu ni zaidi ya mpenzi,”alisema Gigy.

Source: Bongo5.
 
ngoja nami nitoe singo yangu nimpitie
 
Ngoja nihamie Dar aiseeee....
Maana naona huku Ushirombo hakuna sukari kabisa..[emoji39] [emoji39]
 
Kwa hiyo kishaachana na Captain na yule jamaa anaempa laki 5 kwa siku?!
 
kha! kwa staili hii! wanawake hawatakaa waweze kua 50/50 na wanaume.
 
[QUOnaee!Ushimen, post: 16235917, member: 107971"]Ngoja nihamie Dar aiseeee....
Maana naona huku Ushirombo hakuna sukari kabisa..[emoji39] [emoji39][/QUOTE]

We naee! Sasaivi supu ndo habari ya mjini, sukari presha!
 
ngoja nami nitoe singo yangu nimpitie
Kwenye vocabulary yake hakunaga neno HAPANA sharti ni uwe msanii wa muziki, kisha pima supu mpaka kwa Wanigeria wee toa singo upimiwe kisha akutundike kwenye bango maana bahati mbaya hana siri.
 
Hatimae wasanii wagundua njia mpya ya kupata "kiki"

...Ila hawachelewi kukohoa hawa bongo fleva.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…