Dahh.....
Umenikumbusha one time nilitimba pale Olympic bana....[emoji5]
Sasa katika pitapita nikakutana na mtoto mmoja wa kikenya matata...[emoji39] aiseeee.... Hapo nilikua nasukuma mkoko wa kuazima kitu cha Hammer, siunajua kile kiwanja noma sana man ndomana nikalazimika kufungia mkebe wangu kulee....[emoji594], na nika azima dude la Vvuummm.....[emoji596]
Nakwambia ilinibidi niamue kuogelea kwenye ile man made River..[emoji13] , kisha nikajifanya kama nimezama kwa kushindwa kuyakata maji..[emoji6] ili nisaidiwe na (diver) mtoto wa kikenya..[emoji12] [emoji12]
Wacha nijilegeze kwenye sukari ya yule mtoto[emoji23] na alivyo kua ana chura [emoji13] [emoji13] ogopaaa