mzushi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 3,094
- 4,252
nyie ndiyo mliotufikisha hapaTeh Teh sipati picha Rais anapokutana na habari kama za kina Gigy...!
Uwezi amini eti kati ya watanzania ambao wana afya ya akili na Gigy naye hujumuishwa daaaaaa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nyie ndiyo mliotufikisha hapaTeh Teh sipati picha Rais anapokutana na habari kama za kina Gigy...!
Uwezi amini eti kati ya watanzania ambao wana afya ya akili na Gigy naye hujumuishwa daaaaaa...
Umenifurahisha sana. Kumbe anasema sahihi. Hakukuambia anataka mamilioni mangapi. Mfano akipewa dola 500 kwa saa na akacheza masaa 10 kwa wiki atapata shs 10m/=. Hayo ni mamilioni tayari na anaweza kuehuka.Kuna millions wanacheza hizo filam za ngono bure kabisa...
asije kudanganywa atalipwa mamilioni akaishiwa kutapeliwa
hao kina Cherokee tu ni maarufu porn stars na wanalipwa dolar 800 tu kwa saa...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hahahahahahhaha nimecheka halfu nimeiishia kumuonea huruma😀😀😀😀😀 bili ya mwaka so per dei sh ngap
Video Queen na msanii wa filamu Tanzania, Gift Stanford ‘Gigy Money’
Ahsante mkuuWashangaa wakati huku wanafumuliwa bure eti kisa mapenzi tena wengine wake za watu rejea visa humu watu wanalia kuwa wake zao wanaliwa migongo bila wao kujua yaani bure bure
45% naimani kama yakoUsikute kishacheza
hata ukimuwezesha bado akili zake ni zilezile utajikuta umepoteza pesa bora ungewapa wasiojiweza.....Ningekuwa na pesa za kutosha,ningemuwezesha huyu dada angu maana atachiz soon