BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afadhali kawa mkweli
Anavopenda kuwa na wowowo alipunguze kiivo, mmh kakongoroka ana kitu huyo sio hivi hiviNaona sikuhiz anatangaza Dawa za kupunguza uzito ila kakongoroka Sana unene ulikuwa unampendeza
kuumwa, stress ,maisha magumu n.k mambo ni mengikwa hiyo unahisi anaumwa??????
Laki 2 nyingi sana mkuu!Nasikiaga haachi hela hata laki laki 2 unakula mzigo.
Wengi wao ndo maisha yao lakini wanajishikiza kwenye naniliuuKwamba yeye ni Malaya fulani hivi na umalaya wake ndiyo unamuweka MUJINI vinginevyo angekuwa madongo kuinama.
Wengi wao ndo maisha yao lakini wanajishikiza kwenye naniliuu
kama kawaida yaaniHivi siku hizi bado watu wanauza **** zao? Wauzaji mnijibu
Unauza?kama kawaida yaani
kipengele hiki A na B yote yanaweza kuwa majibuKakonda sana sku hz vipi hali ngumu ya maisha...au ashaukwaa?
vipi we mteja?Unauza?
Mkuu inawezekana hilo la ss ndo halisia, lile la zamani ndo haya ya kuunga unga, kuna Mmoja juzi kati alilidondosha la upande mmoja akigombea Daladala!Hivi niulize mbona kalio limenyauka sikuhizi?