Ulimbebea zana?Mwezi wa February si alichepuka na huyu [emoji28][emoji28] Gardner kweli kaisha
View attachment 347575
Gigy ni kichaa ati, mkinjunjana hata mara moja, anakuja kukutangaza.Gig huwa anatafuta atention tu za watu na kiki za kila siku
Teh teh..Yani siku hizi nikimuona Kamanda Machozi nakumbuka hili neno halafu kuna picha inanijia kichwaniZamu yake kukojzwa
Nyamanyafu sijui nyamafudah, mbeya ni kubwa sana sasa cjui huyu dada ni mnyakyusa mwenzangu wa mbeya sehem gan,? mana mmmh!!
Sidhani mwanamke akishaghairi bhaaasHuyu anataka Lady JayDee ajinyonge, na mwaka huu Gadner lazima atafutiwe kesi. Chezea mama wa kikurya.
Kachanganyikuwa..
Ha ha haZamu yake kukojzwa
kwa pesa ip aliyonayoo mkuuKapiteiiiin, naskia lakin anampa laki 5 daily