ni bilaa balaa but amesema huyo jamaa anayempa hiyo mipesa sio mpenzi wake ni sponsor tuu anampa kwa ajili ya mahaba sio "K"Huyo anayempa kila siku Tsh Laki tano TRA wameshakata percent yao hapo au? Halafu Watanzania tunapenda sana kupeana " mvua " ( kudanganyana ). Hivi kuna Mtanzania tajiri mwenye jeuri ya kuhonga kila siku Tsh 500,000/ kwa Demu / Mwanamke? Hiyo " K " unayoigharamikia hivyo ina bluetooth au internal memory card? Haya maisha ya video ndiyo yanatuponza na kutupoteza sana Watanzania kila kukicha kudadadeki zetu.
Atakuja kusema kuwa gadna kala mzigoNimemsikiliza huyo dada yaani she's a bad news,kama wewe mtu maarufu ukimla tu dunia nzima itajua
Kumbe ndio wa bei rahisi hivyo? Ma ma e za keaache uongo bei ya sepetunga ni laki 5 kwa siku mbili full board...sembuse yeye
Kuna kodi ya serikali hapoLaki tano kila siku, kwa mwezi anakunja 15m kwa kutoa hiyo papua tu?
Haya
Tayari Kiba kesha umbuka. Hiyo laki tano maana yake ndiyo bei ya chini kabisa ya kuingia naye miataba wa dhambi ( bottom price). Hizo picha anazitumia kushawishi kimawazo na kuvutia watu(invitement to treaty).Nimemsikiliza huyo dada yaani she's a bad news,kama wewe mtu maarufu ukimla tu dunia nzima itajua
tano tu unashangaa kwlei we mgeni darHuyo anayempa kila siku Tsh Laki tano TRA wameshakata percent yao hapo au? Halafu Watanzania tunapenda sana kupeana " mvua " ( kudanganyana ). Hivi kuna Mtanzania tajiri mwenye jeuri ya kuhonga kila siku Tsh 500,000/ kwa Demu / Mwanamke? Hiyo " K " unayoigharamikia hivyo ina bluetooth au internal memory card? Haya maisha ya video ndiyo yanatuponza na kutupoteza sana Watanzania kila kukicha kudadadeki zetu.