Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tiba kupatikana bado sana labda karne ijayo...hizi story za kupeana moyo zipo miaka mingi sana. Hamna lolote
Medical ethics hizi dawa mpaka ziwe proved kuwa hazina madhara kwa binadamu inaweza kuchukua miaka 10Kwanininunasema hivyo?
Kwani ni kipi hasa kinakwamisha upatikanaji wa hizo dawa?
Kipi kinachokosekana leo kitapatikana ilinkuwezesha upatikanaji wa dawa hizo?
Medical ethics hizi dawa mpaka ziwe proved kuwa hazina madhara kwa binadamu inaweza kuchukua miaka 10
Kwanininunasema hivyo?
Kwani ni kipi hasa kinakwamisha upatikanaji wa hizo dawa?
Kipi kinachokosekana leo kitapatikana ilinkuwezesha upatikanaji wa dawa hizo?
Hivi sky, wewe ni wa taaluma gani, if I may ask!
Una uhakika gani kama biashara hebu leta factsJibu ni biashara ya hayo madawa, si umeona hapo mabilioni yaliyotumika kwenye manunuzi na uwekezaji mwingine.
Uwekezaji katika kuzalisha magonjwa ni mzuri sana.
Unazalisha magonjwa halafu unatengeza tiba magumashi ili uendelee kupiga fedha.
Una uhakika gani kama biashara hebu leta facts
Una uhakika gani kam walipotezwa na sio kufa kwa ugonjwa kama ilivyoelezwaKama siyo biashara kwanini mnawapoteza wanaowapinga na uongo wenu wa HIV?
Celia Faber, Robert Laar hoven, Dr Kery Mullis. Na wengine wengi
Una uhakika gani kam walipotezwa na sio kufa kwa ugonjwa kama ilivyoelezwa
Mkuu usichokijua usikiongee hovyo hovyo unaonekana wa ajabu san.Unajifanya hujui wakati hayo magonjwa mnawapa sumu nyie wenye hisa.
Hivi vitu lazima uwe na data sio kuokoteza tu
Safi, unapenda kujua kwa undani masuala ya afya ya binadamu?Mbangizaji tu Huku kwetu Kwamtogole
Kwa hiyo data za uhakika za mauaji zinapatikana toka kwa makamanda wa Brigedi ya mauaji CDC ikisimamiwa na WHO ehe?