Jimmie Gatsby
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 3,587
- 7,272
mlemavu wa mguu/mguu mmoja mfupiHebu fafanua hapo kwenye herufi kubwa
hayayaya hapo kwenye kuzuiwa papuchi siwezi kukuelewa kabisa bora kufa maskiniHakuna utajiri wa kichawi usio na masharti
Unaeza ambiwa usile papuchi mpaka unakufa. Wana tabu sana hawa
Sent using Jamii Forums mobile app
haha kwa hiyo mkuu hujui kuwa kuna Muumba aliyejuu ya kila kitu?Muumba yupi?... Dini zinawadanganya sana
Juu wapi...mimi nikiangalia juu naona mawingu tuhaha kwa hiyo mkuu hujui kuwa kuna Muumba aliyejuu ya kila kitu?
sawaJuu wapi...mimi nikiangalia juu naona mawingu tu
hahahaaaaa asante sana mkuu
Ginimbi kazaliwa mwaka 1984. Basi nadhani Mke wake atakuwa mkubwa kwake.Kama utakuwa mfuatiliaji wa mitandao na habari za watu mashuhuri, bila shaka huwezi kuacha kulitaja jina la mfanyabiashara maarufu wa Zimbabwe anayejulikana kwa jina la Genius Kadugure al maarufu kama Ginimbi.
Ginimbi ambaye amezaliwa October 10 mwaka 1984, ambapo mwaka huu anatimiza miaka 34, alianza biashara ya umachinga akitokea katika familia duni ya watoto wanne huku yeye akiwa ndiye mzaliwa wa kwanza.
Lakini ghafla hali yake ya kimaisha kwa ujumla ikianza kubadilika baada ya kukutana na mtaalum nguli Mtangβata wa Mtangβata mpakani Tunduma wakati akiwa katika biashara yake ya Umachinga.
Hapo ndipo safari yake ya mafaniko ilipoanza baada ya kukubali kulinda na kutii maelekezo na siri alizopatiwa kutoka kwenye ufalme wa majini kabla ya kupatiwa utajiri ambao hadi leo anaufaidi bila masharti ya kutoa mtu kafara.
Utajiri wa pesa za majini ukamuwezesha Ginimbi kumiliki kampuni kubwa ya kusambaza gesi ijulikanayo kama PIONEER GASES yenye matawi yake nchini Zimbabwe, Botswana na Afrika Kusini.
Pia ameweza kumfungulia mke wake anayeitwa Zodwa Mkandila kampuni kubwa inayojihusisha na masuala ya utalii inayoitwa TRAVERZE TRAVEL. Unaweza ukaona hiyo ni moja yasehemu ya utajiri wake.
Halikadhalika ana miliki majumba makubwa ya kifahari yaliyopo Afrika Kusini katika mji wa Johannesburg, Botswana, Harare Zimbabwe na magari ya kifahari kama vile Bentley Continental Gt, Rolls Royces Ghost na Rolls Royce Phantom, Range Rover Lumma na Range Rover Velar, Mercedes Benz G-Wagon n.k
Kwenye utawala wa mugabe kapata kandarasi nyingi,huu utawala wa mnanagwa ndio atapiga pesa zaidi mana ni rafiki sana wa mnanagwa na mkuu wa majeshiJamaa kakaza tu hakuna majini wala nini,jamaa alikamata fursa TWENZETU akatambaa nayo,Jamaa Joka lenye makengeza mtu wa madili kama chenge.
Jamaa hakamatiki huyo,Boom linazidi kupaa,yaani kila mwezi ananunua ndinga ya zaidi ya 200m Tsh.Kwenye utawala wa mugabe kapata kandarasi nyingi,huu utawala wa mnanagwa ndio atapiga pesa zaidi mana ni rafiki sana wa mnanagwa na mkuu wa majeshi
Sent using Jamii Forums mobile app
NIMECHEKA Sana!!Huyu jamaa Ana hela ila bado lifestyle yake ni ya kishamba. Hela zote hizo bado anafua nguo kwenye beseni!!
Hahhahah enh tusichoshane!!Ndipo alipochagua kama wewe ulivyochagua utajiri wako uutafutie QNet swala ni kuheshimiana tu.
Chiba ni MTU mwenye mguu mmoja mfupiHebu fafanua hapo kwenye herufi kubwa