mtima nyongo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,947
- 2,047
mi nalitajja 'wasukuma'Ginimbi mshamba sana kama kabila fulan !!! Sitak kulitaj ntaitwa mchochez
Ginimbi mshamba sana kama kabila fulan !!! Sitak kulitaj ntaitwa mchochez
Kila MTU na katuni lake[emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hahahaaaa yaaaan sa sijui tunasemaje badala ya ule msemo duniani wawiliwawili
Na kwenye mikutano ya kuondoa umaskini... MASKINI WENYEWE HUWA HAWAHUDHURIISiri za mafanikio za matajiri wanazijua masikini cha kushangaza wao hawafanikiwi!! Funny.
Mambo siyo rahisi hivyo.
Uchiba ndio kitu gani mkuuNaona kama ni ''CHIBA" fulani hivi........Mara ya kwanza nilizani ni mapozi ya Kishamba kumbe Anaficha UCHIBA..............
Umemaliza kila kitu mkuu!!!!! ukweli 100%Daahh kweli ana bidii lakini poda lazma imehusika hapo!hiyo ni level ingine bana
Mbona simpo tuu mkuusijui nifanyaje niwe bilionea [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Nenda kapite Obama roadsijui nifanyaje niwe bilionea [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Point [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]Siri za mafanikio za matajiri wanazijua masikini cha kushangaza wao hawafanikiwi!! Funny.
Mambo siyo rahisi hivyo.
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Atakua anatrade forex....