Ginimbi: Kutoka umachinga mpaka ubilionea

Story kama hizi,ndio kufanya watu wajiingize kwenye kuuza unga,for Gods sake there is know way utoke kuwa mmachinga,kwa kipato cha umachinga ufikie kuwa hapo,alipo huyu jamaa,unless ni mcheza mpira,,
Hata Diamond,imemchukua miaka zaidi ya 12,kufikia hapo alipo,Dangote empire yake ameijenga kwa miaka 45,Bakheresa je? Hizi story za kijiweni,msiwe mnazileta hapa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…