Girl Friend wa Rafiki Yangu Ni Mchina..

Girl Friend wa Rafiki Yangu Ni Mchina..

wazazi wao kwanini wanawapeleka watoto kulelewa na bibi na babu zao?

Nafikiri hii inachangiwa pia na sera yao ya mtoto mmoja,ambapo baada ya mtoto kujitegemea na wazazi kuzeeka uwa wanakuwa hawana cha kufanya hivyo upelekewa mjukuu awachangamshe.Ingawa wazazi usema wanamsaidia mtoto wao ili aendelee na kazi bila kuwa na wasiwasi wa mwanawe.Ishakuwa kama sehemu ya desturi mtoto kulelewa na bibi au babu,ingawa siku hizi kunamabadiliko kadri siku zinavyozidi kusonga.
 
huyo mchina ni mtu kweli asije akawa ni feki?
 
huyo mchina ni mtu kweli asije akawa ni feki?
ni mtu ila anampa mapenzi ya kichinachina ambayo wote tunajua value yake ni 000000000000000000000000000000000000000000,000000000000000000000000000000000000000000000.00000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000.01
 
Kwa hiyo yule mwanamuziki maarufu wa TZ kule China naye vipi?huwa anabeba mkewe? tena siku hzi naye kafulia simsikii tena.
 
Mwambie jamaa ajifunze nae kihua chi kwisi tchao asiwe mvivu utaona huyo mchina atajua kichina mwenyewe anazubaa tu.
 
Jamaa yangu Mwinsheikh Mwinyihaji Omary amepata msichana wa Kichina anayemiliki duka la kuuza maua kariakoo.
Mchina wa Mwinsheikh hajui kabisa Kiingerza ila Kiswahili anajitahidi kidogo.
Kila siku wakitoka kwenye duka lao la maua wanaenda kwenye migahawa ya Kichina, huko huyo binti hujumuika na Wachina wenzake, wanaongea kichina mwazo mpaka mwisho huku wakimuacha jamaa yangu anatumbua macho kama amenusurika kupigwa na bomu la mbagala.
Jana jamaa akawa amaechoshwa na tabia hiyo sugu ya msichana wake, akamwambia demu wake kuwa anataka kumpeleka kwenye migahawa ya Kitanzania.
Tukakutana pale Kijiji cha Makumbusho, tukawa tunapiga zetu story. Binti wa Kichina akaona maji yamezidi unga akamwambia bwana ke "turudi kwa wachina wenzangu na mimi nikaongee"
Jamaa akamwambia ulivyojisikia wewe ndivyo ninavyojisikia mimi tukiwa na wachina wenzako"
Wito wangu kwenu wana mapenzi:-
Mwenzio akikukwaza mweleze, wala usiweke moyoni wala usipange kumrudishia kisasi.
So what?
 
Back
Top Bottom