Brojust
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 349
- 1,024
Salaam wanajukwaa.
Nikiwa na akili timamu na miaka 35, nimefikiria sana juu ya mustakabali wa maisha yangu.
Mimi ni mfanyabiashara na mtoa huduma mbali mbali, Wakati bado nipo kijana nilikuwa nawaogopa sana wadada wa usalama, whether mwajajeshi au polisi au wale wa Eagle 🦅 House, nilikuwa napenda watumishi manesi na walimu.
Ila sasahv baada ya kuwajua vema na kuwachunguza pasi na shaka nimependa sana Tabia njema za baadhi ya hawa wanausalama wetu. Ni watu wako very disciplined haswa ukipata wasukuma au watu wa mbeya na Iringa hapo.
Kwa kweli, Mwaka huu nikimpata wa kufanana na mimi tukaelewana, Nakacha ukabwela.
Mbarikiwe sana wadada wa usalama wa nchi hii, Mapolisi, wanajeshi, uhamiaji, na kada zote za usalama.
Nawasilisha.
Nikiwa na akili timamu na miaka 35, nimefikiria sana juu ya mustakabali wa maisha yangu.
Mimi ni mfanyabiashara na mtoa huduma mbali mbali, Wakati bado nipo kijana nilikuwa nawaogopa sana wadada wa usalama, whether mwajajeshi au polisi au wale wa Eagle 🦅 House, nilikuwa napenda watumishi manesi na walimu.
Ila sasahv baada ya kuwajua vema na kuwachunguza pasi na shaka nimependa sana Tabia njema za baadhi ya hawa wanausalama wetu. Ni watu wako very disciplined haswa ukipata wasukuma au watu wa mbeya na Iringa hapo.
Kwa kweli, Mwaka huu nikimpata wa kufanana na mimi tukaelewana, Nakacha ukabwela.
Mbarikiwe sana wadada wa usalama wa nchi hii, Mapolisi, wanajeshi, uhamiaji, na kada zote za usalama.
Nawasilisha.