Girlfriend polisi, Nasali na kufunga kupata mtumishi wa umma kada ya upolisi/mwanausalama

Girlfriend polisi, Nasali na kufunga kupata mtumishi wa umma kada ya upolisi/mwanausalama

hamna mademu cheap kama maafsa usalama barabarana, ukiwa na ndinga unawang'oa fasta tu
Sio kweli hawatishiki na mandinga wale...maaana wao wenywe wana gari zao
Wale wanakupenda wao wenyewe na swaga zako
 
Tafta mwalimu ambae Hana ajira maan soko lao Sasa ni dogo Sanaa. Wapo wengi tu wametemwa huko kwenye usaili na ndoto zao zote zimezimwa.
#Waokoe.
Siku hizi watu wanataka kuoa sehemu ambako hamna shida nyingi...
Utakua umenielewa
 
Kumpata polisi wa kumuoa ni rahisi sana.Unaenda kituoni unasema shida Yako kuwa unataka mke unapatiwa chapu.Kwenye majeshi hakuna kutongozana mwaka mzima kama ilivyo uraiani
 
Kila la heri Mkuu, Mwenyezi Mungu akupe hitaji la moyo wako.
 
Salaam wanajukwaa.

Nikiwa na akili timamu na miaka 35, nimefikiria sana juu ya mustakabali wa maisha yangu.

Mimi ni mfanyabiashara na mtoa huduma mbali mbali, Wakati bado nipo kijana nilikuwa nawaogopa sana wadada wa usalama, whether mwajajeshi au polisi au wale wa Eagle 🦅 House, nilikuwa napenda watumishi manesi na walimu.

Ila sasahv baada ya kuwajua vema na kuwachunguza pasi na shaka nimependa sana Tabia njema za baadhi ya hawa wanausalama wetu. Ni watu wako very disciplined haswa ukipata wasukuma au watu wa mbeya na Iringa hapo.

Kwa kweli, Mwaka huu nikimpata wa kufanana na mimi tukaelewana, Nakacha ukabwela.

Mbarikiwe sana wadada wa usalama wa nchi hii, Mapolisi, wanajeshi, uhamiaji, na kada zote za usalama.

Nawasilisha.
onana na RPC, na makamanda wa idara zingine za ulinzi,wasilisha proposal yako utafanikiwa
 
Kazi yao ina muda usioeleweka, uhamisho wa mara kwa mara, na hatari kubwa. Wanaishi kwa nidhamu kali, wanakumbana na msongo wa kazi, na mara nyingi wanakuwa na maadui kazini, jambo ambalo linaweza kuhatarisha familia. Pia, ni vigumu kwa mtu wa kawaida kuelewa changamoto zao za kila siku. Kama huna uvumilivu wa maisha haya magumu, inaweza kuwa ngumu sana kwako.

Nishawahi kudate na maafande wa kutosha na Babangu Askari kwahiyo nishaishi mazingira ya kiafande,kama wewe ni Raia askari wa kike atakuzingua tu na wengi wanapewa maneno maneno na Jeshi kua wasiolewe na Raia na hata akiolewa na Raia anataka uhamisho tu au anakutumia kwanjia nyengine.
 
Nilisikiaga hili na ndio huwa linatnitia shaka, hivi ni kweli au ? Kama ni kweli sababu kubwa huwa ni nini ?
Ni kweli , mtu anaweza kwenda patrol usiku akarudi asubuhi na mchana akaitwa kazini.
Au akaoewa KAZI ya kupeleleza bangi huko sujui madawa mbali na nyumbani.
Wanavyokesha kwenye mizunguko unadhani hawafunuani? Ni kama manesi TU wa mahospital makubwa ya rufaa.... Wanadengwa sana.
Labda upate aliyepangiwa kituo cha kata au traffic police labda. Lakini ujue mkizinguana anaweza kukutumia wenzake wakubambike kesi wakubinye balls kidogo.
Inshort kwasasa naona kabisa nawaunga mkono kataa ndoa. We zaa watoto wako uenjoy maisha.

1 Wakorintho 7:8

Neno: Bibilia Takatifu

8 Na sasa nasema kwa wale wasioolewa na kwa wajane. Ingekuwa vizuri kama wangeendelea kuishi bila kuoa au kuolewa kama mimi.
 
Salaam wanajukwaa.

Nikiwa na akili timamu na miaka 35, nimefikiria sana juu ya mustakabali wa maisha yangu.

Mimi ni mfanyabiashara na mtoa huduma mbali mbali, Wakati bado nipo kijana nilikuwa nawaogopa sana wadada wa usalama, whether mwajajeshi au polisi au wale wa Eagle 🦅 House, nilikuwa napenda watumishi manesi na walimu.

Ila sasahv baada ya kuwajua vema na kuwachunguza pasi na shaka nimependa sana Tabia njema za baadhi ya hawa wanausalama wetu. Ni watu wako very disciplined haswa ukipata wasukuma au watu wa mbeya na Iringa hapo.

Kwa kweli, Mwaka huu nikimpata wa kufanana na mimi tukaelewana, Nakacha ukabwela.

Mbarikiwe sana wadada wa usalama wa nchi hii, Mapolisi, wanajeshi, uhamiaji, na kada zote za usalama.

Nawasilisha.
Kwanini ni kuwa hatuwezi kulala Doria na tuko na mtoto wa kike lazima anogeshe Doria .
Tafakari tena
 
Salaam wanajukwaa.

Nikiwa na akili timamu na miaka 35, nimefikiria sana juu ya mustakabali wa maisha yangu.

Mimi ni mfanyabiashara na mtoa huduma mbali mbali, Wakati bado nipo kijana nilikuwa nawaogopa sana wadada wa usalama, whether mwajajeshi au polisi au wale wa Eagle 🦅 House, nilikuwa napenda watumishi manesi na walimu.

Ila sasahv baada ya kuwajua vema na kuwachunguza pasi na shaka nimependa sana Tabia njema za baadhi ya hawa wanausalama wetu. Ni watu wako very disciplined haswa ukipata wasukuma au watu wa mbeya na Iringa hapo.

Kwa kweli, Mwaka huu nikimpata wa kufanana na mimi tukaelewana, Nakacha ukabwela.

Mbarikiwe sana wadada wa usalama wa nchi hii, Mapolisi, wanajeshi, uhamiaji, na kada zote za usalama.

Nawasilisha.
Kila la kheri mkuu
 
Nenda kituo cha polisi muone mkuu wa kituo aKusome masharti kwanza ya kumuoa askari ya kwenye PGO yao uyajue ili baadae usianze kulialia
 
Back
Top Bottom