Wilfred Ramadhan
JF-Expert Member
- Apr 7, 2022
- 503
- 905
Habari wakuu,
Ni mda sasa tangu niwe na mke wangu katika ndoa yetu kuna vitu vingi vimeendelea vingine unameza kama kidume vingine unashare kwa lengo la watu kujifunza au kutoa na kupokea ushauri panapobidi.
Moja kwa moja twende kwenye kiini cha uzi huu,
Mwezi uliopita mke wangu alipokea simu kutoka kwa mama yake (sio mzazi) akapokea maelezo kibao sana niliona akikunja uso wake mzuri kuashiria kama kuna kitu hajakubaliana nacho mara tu baada ya kukata simu ile nikamuulza vipi uko kuna tatizo ?
Akavuta pumzi kwanza na kusema ah sijui niseme vipi ila ni kama tatizo , nikaendelea kumsikiliza pale sasa kilichokuwepo ni kwamba mama yake kamuomba amchukulie mkopo kwenye hizi saccos za kukopesha na yeye hakutaka kufanya vile ila amelelewa na kukuzwa nae na anaona kama akikataa anaweza kuzua maneno mengi yupo njia panda kuamua ilo mimi nilidhani ataenda kama mdhamini ila anaenda kama mkopaji rasmi na mama yake aliwai kukimbia mikopo kadhaa hapo awali ambayo ilipelekea mitafaruko ikiambatana na kushkwa kwa baadhi ya wahusika .
Sasa wife yupo apa anawaza afanyaje mpk anafkria kutoa laki 8 hzo ampe mama yake ambapo ni nje ya natumizi yetu ya mwezi maana tumeshatoa laki mbili na nusu kwa kila familia kila mwisho wa mwezi huwa ni jadi yetu kufanya hivyo
Sasa we kama ndugu yangu nimshauri vipi wife ?
Ni mda sasa tangu niwe na mke wangu katika ndoa yetu kuna vitu vingi vimeendelea vingine unameza kama kidume vingine unashare kwa lengo la watu kujifunza au kutoa na kupokea ushauri panapobidi.
Moja kwa moja twende kwenye kiini cha uzi huu,
Mwezi uliopita mke wangu alipokea simu kutoka kwa mama yake (sio mzazi) akapokea maelezo kibao sana niliona akikunja uso wake mzuri kuashiria kama kuna kitu hajakubaliana nacho mara tu baada ya kukata simu ile nikamuulza vipi uko kuna tatizo ?
Akavuta pumzi kwanza na kusema ah sijui niseme vipi ila ni kama tatizo , nikaendelea kumsikiliza pale sasa kilichokuwepo ni kwamba mama yake kamuomba amchukulie mkopo kwenye hizi saccos za kukopesha na yeye hakutaka kufanya vile ila amelelewa na kukuzwa nae na anaona kama akikataa anaweza kuzua maneno mengi yupo njia panda kuamua ilo mimi nilidhani ataenda kama mdhamini ila anaenda kama mkopaji rasmi na mama yake aliwai kukimbia mikopo kadhaa hapo awali ambayo ilipelekea mitafaruko ikiambatana na kushkwa kwa baadhi ya wahusika .
Sasa wife yupo apa anawaza afanyaje mpk anafkria kutoa laki 8 hzo ampe mama yake ambapo ni nje ya natumizi yetu ya mwezi maana tumeshatoa laki mbili na nusu kwa kila familia kila mwisho wa mwezi huwa ni jadi yetu kufanya hivyo
Sasa we kama ndugu yangu nimshauri vipi wife ?