THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
- Thread starter
-
- #21
Mamlaka ya uteuzi ndiyo unajua zaidi.Nje ya mada kiongozi,Eti DC wa Longido kakosea wapi kwenye hotuba yake mpaka uteuzi wake umetenguliwa?
Kama mambo ndio haya sioni haja yakusema vyama vya upinzani huku ukweli ni kuwa kuna watu wanapanga matokeo
Upinzani Gani,wa Mbowe na Lipumba au upi HASA?wenzio hawalali wakiota upinzani umeshinda, wewe upo unaongea utumbo
Wakati ule tungeandika pia ungesema tunafurahia wapinzani kuumizwa au siyo?Shungi ni vazi tuh,hata wewe unaweza kuvaa likakupendeza na sisi tukakusifia vile vile.Na wakati wa Maguuli ulikuwa unaandika uharo kama huu ? au kwa sasa shungi linakuchanganya?
Teh teh teh teh...
Sawa kiongozi lakini nasikia diwani hana uwezo wowote kwenye uchaguzi kushinda bila mkono wa serikali (ni sehemu kidogo ya kilichosemwa japo sijanukuu kama ilivyo ni tafsiri yangu lakini ujumbe ni sawa)Mamlaka ya uteuzi ndiyo unajua zaidi.
Kama tayari Comrade umejisajili kidigitali unaweza kuingia kwenye portal yetu ya CCM. Hii hapa upate mambo mengi yanayowahusu wanachamaTeh teh teh teh...
Kama aliyazungumza hayo na mamlaka ya uteuzi imemtengua basi ni wazi kuwa hayo aliyoyasema ni yake,ameyazua ndiyo maana akatumbuliwa,angeachwa maana yake hicho alichokisema kingekuwa ni kweli.Sawa kiongozi lakini nasikia diwani hana uwezo wowote kwenye uchaguzi kushinda bila mkono wa serikali (ni sehemu kidogo ya kilichosemwa japo sijanukuu kama ilivyo ni tafsiri yangu lakini ujumbe ni sawa)
Sasa kama hiko hivyo wapinzani unategemea ata wangekuwa imara kama unavyotaka bila utashi wa hawa wenye kupanga matokeo unahisi kuna mabadiliko au tusubiri nguvu ya watu(never) au majeshi yafanye yake sio?
upinzani wa bongo ni usanii mtupu wapishe watu wenye akili zao waongoze nchi ccm daima mbele nyuma mwikoFriends and Our Enemies,
Kuongoza nchi siyo jambo la kufanya majaribu eti ili tuweze kuona yupi ni bora kuliko mwingine.
Ni suala la maisha na kifo,huwezi kujaribu sumu kwa kuionja.
Ni hadi pale wapinzani wa nchi hii watapofikia hatua ya kutuonyesha wazi wazi kwa vitendo kuwa ni mbadala halisi wa hawa waliopo madarakani ndipo wataaminika kupewa mamlaka ya kuongoza nchi.
Ni hadi pale kasumba ya ubinafsi uchu wa madaraka uliopo kwa hao wapinzani itapoondoka.
Wenyewe kwa wenyewe wamekuwa ni wabinafsi,hawako pamoja na hawawezi kuwa na moyo wa kuungana pamoja na kuweka tofauti zao pembeni ili wawe na nguvu moja.
Kitu kinachowazunguka ni ubinafsi na uchu wa madaraka baina yao.
Chadema Mbowe kaamua kuwa ni mwenyekiti wa Maisha,CUF Lipumba kaamua kuwa mwenyekiti wa maisha,same applies kwa vyama vingine pia.
Wanalilia katiba mpya huku wao wenyewe wakiwa hata kuzitii katiba za vyama vyao hawawezi,giza limetanda kwenye mwanga wa maono yao,na hakuna jua litawaka katika siku zao za kufikiria demokrasia ya ukweli.
Hawana cheni katika miguu yao lakini wanashindwa kutembea na kwenda mbele kabisa,ni watu ambao wamegeuka kuwa ni wajasiriamali wa kisiasa ili waweze kuishi.
Wamekuwa ni watu wa kudandia hoja moja baada ya nyingine na kukosa focus ya kweli ya kuaminika na kupewa mamlaka ya kuongoza nchi.
Kuwapa imani watu hawa ni kujichimbia kaburi letu wenyewe,hawajaonyesha nia ya dhati bado.
Luca kuna wito wa dharura huku.Atakuja hapa Lucas Mwashambwa atabubujikwa na machozi ya furaha kwa huu Uzi.
Ndio hali halisi mkuu, vyama vingi vinavyoanzishwa huwa vinakua na nguvu sana pale mwanzoni ila kadri siku zinavyokwenda na miaka kupita nguvu inapungua kwa maana hawapendi kufanya recruitment ya damu changa ili ziendelee kuvipa nguvu vyama vyao.Hakika umeongea kitu chenye maana kubwa Sana.
Je vipi waliojaliwa roho ngumu mbaya isiyo jali na yenye ujasiri?actually,
it's true kwamba Tanzania imejaaliwa upinzani dhaifu, kipogoyo na usio na maono,
kitu ambacho pia kinaonesha dhahiri shahiri kwamba hawana uelekeo na huenda hata hawajui kabisa hata wanapambania nini au au kusudi lao ni nini humu nchini...
mbaya zaidi ni hilo ulilolisema, ubinafsi, uchu wa madaraka, chuki binafsi, ukabila na kujipa umuhimu wasio stahili, kumewapotezea kabisa diri 🐒
Lakini yeye ni credible source licha ya mamlaka kumtumbua haifanyi kilichosemwa kuwa cha uongo.Kama aliyazungumza hayo na mamlaka ya uteuzi imemtengua basi ni wazi kuwa hayo aliyoyasema ni yake,ameyazua ndiyo maana akatumbuliwa,angeachwa maana yake hicho alichokisema kingekuwa ni kweli.
Nami naingia ni hakiki usajili wangu.
jamaa anajua kila kitu anajitoa tu ufahamuSawa kiongozi lakini nasikia diwani hana uwezo wowote kwenye uchaguzi kushinda bila mkono wa serikali (ni sehemu kidogo ya kilichosemwa japo sijanukuu kama ilivyo ni tafsiri yangu lakini ujumbe ni sawa)
Sasa kama hiko hivyo wapinzani unategemea ata wangekuwa imara kama unavyotaka bila utashi wa hawa wenye kupanga matokeo unahisi kuna mabadiliko au tusubiri nguvu ya watu(never) au majeshi yafanye yake sio?
Tumia Login | CCM Mwanachama kuweza kuhakiki usajili wako.Nami naingia ni hakiki usajili wangu.
ni pepo tu hilo, ñjoo ufanyiwe maombi tu na utakua jasiri kama Simba, lakini huru, usie na hofu, mwenye nguvu, maarifa na maono ya mbali kabla ya hatar 🐒Je vipi waliojaliwa roho ngumu mbaya isiyo jali na yenye ujasiri?