Lakini isitoshe kuna hili la kutangaziwa kipigo na Vijana wa CCm kwa Upinzani.,ukiacha lile la tume kutuengua na kutuwekea Visheria vingi vya mitego na kandamizi.
ona
Kuhusu Zanzibar kuchaguliwa Mgombea asiyekubaliwa na CCM zanzibar pia nalo linawalazimisha wazanzibari kufanya Jambo lao, ukiacha lile la Muungano kuwabana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.