Eleminator
JF-Expert Member
- Sep 29, 2022
- 597
- 975
Yaan yeye anaingizwa kwenya mafridg ya muhimbili huku mimi nafungua file pale kituon😁😁Ha ha ha......
ukaiona isiwe tabu,
Usije gawana na mtu majengo ya serikali[emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan yeye anaingizwa kwenya mafridg ya muhimbili huku mimi nafungua file pale kituon😁😁Ha ha ha......
ukaiona isiwe tabu,
Usije gawana na mtu majengo ya serikali[emoji38]
Pm niliifunga kitambo. Hata me mwenyewe siwez mPM mtu hadi niwaite mods kwanza. Hapa hapa mbona pakubwa tuEbu twende pm
Kijana wa hovyo , mzee wa mbususuNiliposoma kichwa cha uzi tu, nikawa nahisi muandishi ni DeepPond kwa 99.999% [emoji23][emoji1787][emoji1787]
[emoji1][emoji1][emoji1]Ndiyo sekta yake hii, kuna kipindi niliandika uzi wa Mia Khalifa alikuja kuchangia akatupa ma-story mengi sana, mods wakapita nao. [emoji23]
Mwenyewe siwezi na huu wivu wangu [emoji23] sema ndio wazungu tena wanajionea kwao kawaida tuKipenzi ya dunia ni mengi na ya kustaajabisha. Mimi bwana hayo mambo siwez na huu wivu nilionao siwezi yaani [emoji23]
Kwann, kivipi[emoji848]
Madam upo ? kheri ya mwaka mpya madamMwenyewe siwezi na huu wivu wangu [emoji23] sema ndio wazungu tena wanajionea kwao kawaida tu
Download vpn mkuuInshu ya kupeana space kwenye ndoa naipendaga sana tatzo ngozi nyeusi huwa hazielew
Huwa nataman nioane na mke lakin kila mtu aishi nyumba yake,nikimmiss ndo naenda kwake au yeye anakuja kwangu lakin haya mambo ya kila siku mko pamoja yanachosha sana
Samia katubania sana,sahv ningepitia xvideos ili nimjue vizur