GK na Ne-yo mbona huwa hawavui kofia?

Nina 50,000/= kwa atayeweka picha ya yule jamaa wa P unit kenya akiwa hana kofia..anitwa Frasha kama sikosei.
 
Nina 50,000/= kwa atayeweka picha ya yule jamaa wa P unit kenya akiwa hana kofia..anitwa Frasha kama sikosei.

Yule jamaa nilisikia ni doctor,kwahyo anavaa kofia kwenye video ili kumaintain confidentiality
 
Nina 50,000/= kwa atayeweka picha ya yule jamaa wa P unit kenya akiwa hana kofia..anitwa Frasha kama sikosei.

Duh kweli nimetafuta picha yake google kila kona cjapata" hyo hela baki nayo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…