Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa hela, Asante, za zamani pia kipindi kile kafuga rasta, picha pia zipo mkuu
Nina 50,000/= kwa atayeweka picha ya yule jamaa wa P unit kenya akiwa hana kofia..anitwa Frasha kama sikosei.
Ay ni kama Gk anapenda sana kofia
Yule jamaa nilisikia ni doctor,kwahyo anavaa kofia kwenye video ili kumaintain confidentiality
Only that! Sidhani.
Nina 50,000/= kwa atayeweka picha ya yule jamaa wa P unit kenya akiwa hana kofia..anitwa Frasha kama sikosei.
Duh kweli nimetafuta picha yake google kila kona cjapata" hyo hela baki nayo tu
Evelyn Salt,au awe ananyoa upara tu kama Van Diesel, kama Rooney pia sio vibaya, hela anazo kwa nini apate tabu
Neyo kazaliwa na kofia naskia
Usimsahau LL COOL J.
Ne-yo ana upara wa hatari yani akitoa kofia utahisi ni mbabu bora asitoe tu
GK ana kikomwe fulani amazing kimekaa kama kiazi
Sijawahi ona uhendisamu paleHa ha ha bathi thawa, bro GK je
Kikomwe! Dah kiswahili kina misamiati kibao,aisee
Ne-yo ana upara wa hatari yani akitoa kofia utahisi ni mbabu bora asitoe tu
GK ana kikomwe fulani amazing kimekaa kama kiazi
Yule sijui kwaniniVp LL cool J? Yule nae hatoi kofia kabisa