Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika?
Kwa taarifa yako tu, kipindi kile msanii wa ECT aliwezaje kumiliki gari kutukana na mziki
R.I.P kichaa gkRapper mkongwe nchini, King Crazy GK amesema akipewa fursa ya kutumia bifu ya Diamond na Alikiba, atawafanya wawe mabilionea.
Rapper huyo amedai kuwa atahakikisha wawili hao wanaongeza uhasama zaidi kuliko hata ilivyo sasa. Wakati mengi yakiendelea kuzungumzwa kila kukicha kuhusiana na wawili hao , GK amesema angewahakikisha wawili hao wanapiga mkwanja wa kutosha.
“Ni upinzani mzuri kama nikipewa mimi kutengeza pesa watakuwa mabilionea wale mabwana,” anasema. “Kwanza nitaongeza conflict, ule mgongano sitoupunguza, nitauongeza, nitazidi kuuvibrate uwe mkubwa watu wa waufeel. Sasa upo upinzani kwa Kiba na Diamond zaidi personal, sasa mimi nitauweka watu wauvae yaani wakikutana pale inakuwa noma,” ameongeza.
Crazy GK anadai angepambana kuwe na mipango ya kuhakikisha wawili hao wanapiga hela nyingi ikiwemo kufanya show uwanja wa taifa.
MY TAKE: Gk kapatwa na nini?!,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona bifu yake na TMK haikumfanya awe milionea? Huyu mjomba anazeeka vibaya.
Mbona bifu yake na TMK haikumfanya awe milionea? Huyu mjomba anazeeka vibaya.
Anaitwa CRAZY GK, mbona simpo!Hahah
Hivi kwa mujibu wa ile report
Kati ya waliokuwa east coast
AY, FA, GK na Snare
Nan atakuwa kichaa hapo!!?
.*nauliza tuu lakn
Aliyemwambia kufanya show uwanja wa taifa ndyo kuwa bilionea nani? Vip keshammaliza chuo,. Matokeo vip? Namshauri atengeneze bifu kati yake yeye mwana fa na A Y, wabana pua awaachie mafanikio yaoRapper mkongwe nchini, King Crazy GK amesema akipewa fursa ya kutumia bifu ya Diamond na Alikiba, atawafanya wawe mabilionea.
Rapper huyo amedai kuwa atahakikisha wawili hao wanaongeza uhasama zaidi kuliko hata ilivyo sasa. Wakati mengi yakiendelea kuzungumzwa kila kukicha kuhusiana na wawili hao , GK amesema angewahakikisha wawili hao wanapiga mkwanja wa kutosha.
“Ni upinzani mzuri kama nikipewa mimi kutengeza pesa watakuwa mabilionea wale mabwana,” anasema. “Kwanza nitaongeza conflict, ule mgongano sitoupunguza, nitauongeza, nitazidi kuuvibrate uwe mkubwa watu wa waufeel. Sasa upo upinzani kwa Kiba na Diamond zaidi personal, sasa mimi nitauweka watu wauvae yaani wakikutana pale inakuwa noma,” ameongeza.
Crazy GK anadai angepambana kuwe na mipango ya kuhakikisha wawili hao wanapiga hela nyingi ikiwemo kufanya show uwanja wa taifa.
MY TAKE: Gk kapatwa na nini?!,
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] utapigwa wewe!Hahah
Hivi kwa mujibu wa ile report
Kati ya waliokuwa east coast
AY, FA, GK na Snare
Nan atakuwa kichaa hapo!!?
.*nauliza tuu lakn
[emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] utapigwa wewe!